Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Auric inatua Arusha siku nyingii!ChoiceVariable
Siku Arusha mkimaliza kubishana na dodoma ..sie tuko kulee ....
Tunazidi kufungua anga[emoji116]View attachment 2691237
Ushapigwa Cha asubuhi kwenye mtaro?Bongo unasoma IT sijui computer science [emoji3][emoji3] utaishia kufanya vibarua tu
Hata mwanza ipo siku nyingi..ila special flight huwezi Kuta ArushaAuric inatua Arusha siku nyingii!
kama zipi? hiyo Bombardier inatua Arusha tena frequency nyingi zaidi!Hata mwanza ipo siku nyingi..ila special flight huwezi Kuta Arusha
Takwimu ziko wapikama zipi? hiyo Bombardier inatua Arusha tena frequency nyingi zaidi!
Kama hizkama zipi? hiyo Bombardier inatua Arusha tena frequency nyingi zaidi!
kitu cha kawaida angalia Arusha-Dar na Arusha-Zanzibar kuna miruko mingapi ya Auric kwa siku!
Yani Arusha jiji kubwa jamani ..tangu tupate uhuru Mwanza imetembelewa na Marais wangapi wa nje ya nchi?![emoji23][emoji1787]View attachment 2693305
Sasa hili mbona Arusha wamejenga mda? Kwenu naskia ni 6Floots wakati Arusha wamejenga 10Floors
Mwanza Airport ππSasa hili mbona Arusha wamejenga mda? Kwenu naskia ni 6Floots wakati Arusha wamejenga 10Floors
Fikeni level hizi za Arusha ndio mje kujitutumua kwanzaNani kakwambia miradi ya Magufuli? Ni miradi iloyitekwerezwa kipindi cha utawala wake! Alikuwa nauwezo wa kuleta figisu hata Ngorongoro Tower isijengwe! Hata hiyo PAPU kama angekuwa na chuki angewakatalia kujenga wakaenda kujengwa kwingine! Wewe haujui kuwa ardhi ya Tanzania kwa sheria ya sasa iko chini ya Rais kwa hiyo Rais akiamaua anaweza kuleta figisu! Punguzeni chuki zenu!
Hio airport ni ya mwaka 90.Mwanza Airport [emoji16][emoji16]View attachment 2699420
Leta vitu mkuu lakini usiache kutupia na kule Mwanza city photo galleryπHatimae nimerudi jijini mkae mkao wa kula View attachment 2699500View attachment 2699501
Huo ndo ukweli ambao amtaki kuambiwaHio airport ni ya mwaka 90.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Ni jengo la muda ni zuri kuliko terminal ya KIA na ile mpya mnajengewa hapo oversize zone [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2699431
Ukwel upi [emoji23][emoji23]Huo ndo ukweli ambao amtaki kuambiwa
We jamaa nakukubaligi hapo tu dom vs arusha upo upande wa dom ikija arusha vs mwanza upo upande wa arusha πππFikeni level hizi za Arusha ndio mje kujitutumua kwanza View attachment 2699421View attachment 2699422View attachment 2699423View attachment 2699424View attachment 2699425View attachment 2699428View attachment 2699536View attachment 2699537
Kumbe na wewe unashangaa unafiki wa jamaa, basi shangaa na hiiππWe jamaa nakukubaligi hapo tu dom vs arusha upo upande wa dom ikija arusha vs mwanza upo upande wa arusha πππ