Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Kwa jinsi Jamaa wa Mwanza walivyo na wivu na hicho kiwanda Cha bil.40 huko Arusha watalaumu Serikali 🀣🀣View attachment 2741972View attachment 2741973
Wewe nawe unahangaikaga bure bila sababu! Hiyo dolla 16 milion ni bilioni kama 40 tu! Zina kuzuzua kweli! Mwanza ina nyanzaga project sio chini ya trilion 3! Na juzi wamewalipia fidia wananchi wa maeneo ya mgodi zaidi ya bilion 52!
 
Wewe nawe unahangaikaga bure bila sababu! Hiyo dolla 16 milion ni bilioni kama 40 tu! Zina kuzuzua kweli! Mwanza ina nyanzaga project sio chini ya trilion 3! Na juzi wamewalipia fidia wananchi wa maeneo ya mgodi zaidi ya bilion 52!
Mgodi ni kiwanda? Huo mgodi ni Mali ya mzungu na hizo habari Toka 2021 ni stori tuu tunaenda 2024 hamna kitu.

Sawa na zile stori za viwanda vya kusafisha dhahabu ,Kiko wapi Sasa 😁😁

Kula chuma hichoo
 
Mgodi ni kiwanda? Huo mgodi ni Mali ya mzungu na hizo habari Toka 2021 ni stori tuu tunaenda 2024 hamna kitu.

Sawa na zile stori za viwanda vya kusafisha dhahabu ,Kiko wapi Sasa 😁😁
Huo mgodi 60% ni wazawa acha kudanganya watu wewe! Naomba ukae kwa kutumia tena ni Madong wa Mwanza hapa hapa!
 
mimi ni mzaliwa wa Arusha ila baada ya kuhitimu chuo nimehamia Mwanza, Mwanza na Arusha vinatofautiana kwa level ya mtu kiutafutaji, simshauri sana mtu anaeanza maisha aanze arusha, ila namshauri mtu mwenye fedha za mtaji wa kutosha asije mwanza hapajachangamka sana kwa biashara kubwa, huwezi kusema Mwanza biashara ya magari ipo.. mzunguko wa fedha bado mdogo... ila biashara za kawaida kama za uvuvi samaki unazifuata visiwani na kupeleka mikoani, uuzaji wa nguo hasa misimu ambayo vyuo vimefunguliwa, biashara za simu, zinalipa na hizi ni za kawaida!! ila kwa arusha wao ni wazee wa kutumia noti nyekundu tuu,, biashara zao ni kubwa ni sawa na dsm...
 
Usizunguke saana kuwapaka mafuta,nyoosha maelezo tuu kwamba Mwanza ni Mji wa watu maskini na WA kishamba full stop 😁😁
cc Mikdde sambulugu
 
Labda uliishia Mwanza ya UkereweπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Shida watu wa Mwanza hata mfanyiwe nini mnakuaga tu na mentality kwamba mnaonewa... we jiulize watu wa arusha tunavousifiaga mji wetu lakini ukienda hatujafanyiwa chochote hatuna soko wala stendi nyie mna kila kitu mna hadi stendi mbili bado mnalalamikaga tu πŸ˜‚πŸ˜‚ yani arusha tungekua tuna hata nusu ya vitu mlivonavyo nyie tungekua tunawaambia hakuna mji Duniani kama atown ungekuta sasa hivi tuna battle ya atown vs newyork..ni mentality yetu ndio inasababisha muone kama tunapendelewa lakini in reality kwa miundombinu arusha tuko nyuma sana ila hela ipo
 
Akili za maskini na Watoto Yatima.Arusha hakuna Cha stand Wala masoko makubwa kama.Mqanza yet wanaona wametengwa. 😁😁
 
Endelewni kujifariji, mnatumia nguvu kubwa sana kujitetea, haya nje ya watalii wa kizungu kuna nini cha ziada hapo arusha,nje ya Dar kuna jiji gani lililochangamka kuliko Mwanza, ukija Mwanza kila mtaa wana showroom, na magari ya kiwango unayaoaya kwa bei rahisi hata kuliko Dar.... Hiyo mwanza uliyoielezea labda ni mwanza ya ungalimited.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…