Tatizo huna akili muda mwingine hao ngedere wa Arusha walishindwa kufikisha bilion 30 leo wataweza 50 bilion alafu unafanya utoto na upumbavu kutuma makisio ya makusanyo huo ni ujinga leta figure halisi.GDP ndio Huwa inawafariji si ndio? π€£π€£
Kula msumari wa moto hapa ππView attachment 2927465View attachment 2927466
Arusha 75 vs Mwanza 64 πππ
Walishindwa lini? Hujui kusoma au kutafsiri? Unadhani hizo makisio wanajiwekea tuu? Hiyo inakupa picha ya expansion ya uchumi Arusha ndio maana unaona Mapato game jamp Kwa kiasi kikubwa.Tatizo huna akili muda mwingine hao ngedere wa Arusha walishindwa kufikisha bilion 30 leo wataweza 50 bilion alafu unafanya utoto na upumbavu kutuma makisio ya makusanyo huo ni ujinga leta figure halisi.
Leta figure achana na makisio.Walishindwa lini? Hujui kusoma au kutafsiri? Unadhani hizo makisio wanajiwekea tuu? Hiyo inakupa picha ya expansion ya uchumi Arusha ndio maana unaona Mapato game jamp Kwa kiasi kikubwa.
Hakuna wakati Arusha Ina Neema kama awamu hii ya 6,hotels zote zilizokuwa zimekufa Sasa zimejaa Watalii.
Kwa taarifa Yako tuu mwaka huu wa 2023/24 wanatakiwa wafikishe 48 bln.
Mwaka 2024/25 wanatakiwa wafikishe 51 bln.
Mwanza ime stuck kule kule Kwa Bln 41 (City plus Ilemela) π€£π€£π€£π€£π
Nilichokuwekea hapo Juu ni nini kama sio figure?Leta figure achana na makisio.
Actual figure?Nilichokuwekea hapo Juu ni nini kama sio figure?
Ni nini kama sio actual figures?Actual figure?
Kwahiyo Arusha kwa sasa imepitwa na Dodoma?International and Diplomatic City of Arusha has made it again ππ
View: https://twitter.com/MkindiJackie/status/1766173095323152776?t=9JYkAPGhgfxASvHdPnSEwQ&s=19
Arusha ingepata bahati ya kupangwa na kujengwa kama Dom kama Jiji la kitalii na Kidiplomasia ya Kimataifa lingependeza sana kushinda Dom.
Dodoma imepita Mwanza sembuse Arusha?Kwahiyo Arusha kwa sasa imepitwa na Dodoma?
Itakuwa imetupita kwa kiwango cha umasikini uliotukuka.Dodoma imepita Mwanza sembuse Arusha?
Itakuwa imetupita kwa kiwango cha umasikini uliotukuka.
9f nalo ni jengo refu, huto tujengo huku Mwanza tunajengwa na mtu sio shirika wala serikali ukitaka picha sema niweke.Arusha inazidi kupambwa na majengo marefu.
TGC Twin Towers under construction ππ
View: https://www.instagram.com/p/C4djSxnNk-7/?igsh=bWhiZjJjNGJmaDhwView attachment 2933756View attachment 2933757
Wivu π π9f nalo ni jengo refu, huto tujengo huku Mwanza tunajengwa na mtu sio shirika wala serikali ukitaka picha sema niweke.
Nakuwekea baadhi yanayojengwa na watu binafsi sio shirika wala serikali dhalimu hiiWivu π π
Tuko wapi huyo twa mwanza Kelele zingejaa humu jf
Wivu π π
Tuko wapi huyo twa mwanza Kelele zingejaa humu jf
Kila siku tupicha huyo huyo,hakunaga Majengo mapya huko Mwanza? ππ
Kila Mkoa yapo Hadi SumbawangaNakuwekea baadhi yanayojengwa na watu binafsi sio shirika wala serikali dhalimu hii