Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Eti mtoto wa kino clan....au sio mitaa ya kina aunt aggrey eti eh[emoji849][emoji16]
 
Eti wa dar?? Unaruka ruka kama kojo la kichaa. Unaishi kimalaya malaya fala kweli. Unaona ukisema wa dar nitakuona bonge la mjanja na akili yako ilivyo ndogo.
 
Eti wa dar?? Unaruka ruka kama kojo la kichaa. Unaishi kimalaya malaya fala kweli. Unaona ukisema wa dar nitakuona bonge la mjanja na akili yako ilivyo ndogo.
Kumbe. Nakuzidi kila kitu mshamba wa Mwanza, Arusha ninakwenda kila mara kwa biashara zangu, zaidi ya miaka 9 sasa utaniambia nini, mwanza napajua vilevile ninaelewa ninachokiongea mlugaluga wa shamba. Watu wa Mwanza ata walivo tu kabla ya kuongea unajua washamba. Wazito, bado mpo miaka ya 70. Ntolee ushamba wako hapa, mwanza is nothing wewee. Hakuna la maana, mpo nyuma kwa kila jambo, kuitwa jiji ghafla mkadhani ndo mmejua kila kitu 🤣, nyie mpo wengi tu hakuna kigezo kingine chochote cha maana. Hakuna ile feeling upo kwenye urbanized area., kwanzia muonekano mpaka watu wenyewe.
 
Endelea kujifariji....ngoja nikupe elimu kidogo we chiZi mmoja ..unayeropoka kutafuta sifa humu jukwaani ....
ukiniletea facilities hizi hapo zizini.. niite shangazi [emoji116]
 
We boya huwezi nifaninisha Mimi na wewe. Tatizo lako unataka kujipambanua ili uonekane you are someone else, stupidity mentality. Kapige debe upate kununua unga wa wanao. You are having ATTENTION DEFICIT HYPERACTIVE DISORDER. you pretend unajua sana kuliko wengine. Kuhusu mikoa yote, east and middle east, southern Africa and some countries nje ya fikra zako sisi ni wenyeji. Ninapobisha hapa I have a reason to do so. Sifanyi kwa mapenzi. Nafahamu mikoa yote we boya.
 
Ndio nini yani? Kwanza Mabasi yao kibao yana stand zao. Ndio maana mnaonekana washamba, kwahiyo hiyo inawachanganya hatari? 🤣🤣 Ushamba mzigo kweli.
Huna Cha kujibu we boya, basi leta hata picha za parot hotel, mount Meru hotel, au hotel ya mrema pale sanawali
 
Stupidity mentality 🤣🤣🤣 watu wa Mwanza dah, babu ukishakuwa mtu wa Mwanza we jua tu we sio wa mjini. I tapasua fuvu bure. Inaeleweka nchi nzima.
 
Huna Cha kujibu we boya, basi leta hata picha za parot hotel, mount Meru hotel, au hotel ya mrema pale sanawali
Vitu vya kawaida tushazoea, tatizo mwanza mmeanza kupata vimaendeleo jana tu. Ata tanga iliendelea kabla yenu. Na wamewazidi ujanja na exposure.
 
Ndio nini yani? Kwanza Mabasi yao kibao yana stand zao. Ndio maana mnaonekana washamba, kwahiyo hiyo inawachanganya hatari? [emoji1787][emoji1787] Ushamba mzigo kweli.
Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe.......hoja hujibiwa na hoja sio uropo ropo

Angalia hii ramani ya routes za ndege ...Kisha useme Hilo zizi linaroute ngapi ..
Mwanza imeipiga KIA kwenye safari za ndege [emoji116][emoji116]
 
Vitu vya kawaida tushazoea, tatizo mwanza mmeanza kupata vimaendeleo jana tu. Ata tanga iliendelea kabla yenu. Na wamewazidi ujanja na exposure.
Arusha iliendelea kabla ya TANGA?. Au hata darasani hujaenda tunahangaika na bangi mbichi
 
Yani huo air ushuzi? Mwanza hamjawai kushusha ndege ata moja ya abiria ya kimataifa, uwanja mkubwa unatua vipopo bawa, nikajua route labda za Ethiopian, turkish, KLM, kumbe uto tu popo bawa🤣🤣, wenzenu KIA wameshazoea, yani ata mtoto wa miaka miwili saa mbili usiku akiona ndege anajua ni turkish, huko sasa, shuttle kila cornee mjini, siku ikitua ndege ya abiria ya kimataifa hapo mwanza, wiki nzima mapumziko watu waende kushangaa.
 
Nimeisema mwanza compared to Tanga. Sawa peasant?
We fala hujui historia bhna acha kutaka sababu ya kufundishwa historia ya mikoa yako. Hujui hata bandari kongwe ilikuwa mkoa Gani, zao la mkonge lilimwa wapi na nani, mkoa uliokuwa na viwanda vingi kuliko mkoa mwingine enzi hizo. Ila ukadumaa kwa sababu ya umwinyi wa residents wake. Hivi umevuta leo kweli?
 
Huo mfumo mtakalishwa sana, nenda NBS wakupe idadi ya majengo ya maghorofa Tanzania, mnazidiwa hadi na kilimanjaro, uto tupicha tuwili tunakudanganya ndio maana watu wa Mwanza mijini mnaongoza kwa kutapeliwa na kudangwa.
Leta picha we nyoko
 
Huo mfumo mtakalishwa sana, nenda NBS wakupe idadi ya majengo ya maghorofa Tanzania, mnazidiwa hadi na kilimanjaro, uto tupicha tuwili tunakudanganya ndio maana watu wa Mwanza mijini mnaongoza kwa kutapeliwa na kudangwa.
Ndio ulete hizo ghorofa na picha ya mji tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…