Kumbe. Nakuzidi kila kitu mshamba wa Mwanza, Arusha ninakwenda kila mara kwa biashara zangu, zaidi ya miaka 9 sasa utaniambia nini, mwanza napajua vilevile ninaelewa ninachokiongea mlugaluga wa shamba. Watu wa Mwanza ata walivo tu kabla ya kuongea unajua washamba. Wazito, bado mpo miaka ya 70. Ntolee ushamba wako hapa, mwanza is nothing wewee. Hakuna la maana, mpo nyuma kwa kila jambo, kuitwa jiji ghafla mkadhani ndo mmejua kila kitu [emoji1787], nyie mpo wengi tu hakuna kigezo kingine chochote cha maana. Hakuna ile feeling upo kwenye urbanized area., kwanzia muonekano mpaka watu wenyewe.