ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza haiwezi kuwa mashindanonya kijanja kama haya ya Arusha Motor rally ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C9Nwb0MMCdR/?igsh=ejI3cDY0Y2Zlem9x
Tumewachoka Kila siku na Hako kapicha ,unboaIlemela malaika beach ..............huko madiziniView attachment 3041910
Pazuri sana aisee!! na hapo ni nje kidogo ya mji, huu mtaa ndo ingekua Arusha tusingekunywa majiIlemela malaika beach ..............huko madiziniView attachment 3041910
Pako hot sana huko na hapo umepiga picha kitaa cha mwanzoni ungeingia ndani kuna mahekaru balaaaaIlemela malaika beach ..............huko madiziniView attachment 3041910
Tatizo la watu wapitaji huwa wanpita linearly anaona Mabatini, igogo, anakuja na conclusion zenye bulabla kibao, huo mtaa wa malaika bila 200m,hupati kiwanja, kuna ibanda, Bwiru press, Ilemela, Nyegezi majengo, Kiseke, Nyamhongoro pako π₯ π₯ π₯ π₯ but malaika soon caprpoint anawekwa benchPazuri sana aisee!! na hapo ni nje kidogo ya mji, huu mtaa ndo ingekua Arusha tusingekunywa maji
Mwanza mpo? ππTatizo la watu wapitaji huwa wanpita linearly anaona Mabatini, igogo, anakuja na conclusion zenye bulabla kibao, huo mtaa wa malaika bila 200m,hupati kiwanja, kuna ibanda, Bwiru press, Ilemela, Nyegezi majengo, Kiseke, Nyamhongoro pako π₯ π₯ π₯ π₯ but malaika soon caprpoint anawekwa bench
InawatoshaMbeya tumepigwa na kitu kizito,eti hii ndio Stendi inatarajiwa kujengwa ni aibu tupu ππππView attachment 3055634View attachment 3055635View attachment 3055636
Stupid hatutaki listendi baya kama la MwanzaInawatosha
Sasa hii ndo itakuwa stend nzuri kuzidi za Mwanza?Mbeya tumepigwa na kitu kizito,eti hii ndio Stendi inatarajiwa kujengwa ni aibu tupu ππππView attachment 3055634View attachment 3055635View attachment 3055636
Nani kasema ni nzuri kuzidi ya Mwanza? Zote ni mbaya tuu.Stendi nzuri ni ya Arusha tuuSasa hii ndo itakuwa stend nzuri kuzidi za Mwanza?
Unachekesha sana wewe! Wewe shindana na Kahama huko na maeneo mengine!
Hata hii haina uzuri wowote ni ya kawaida tu kama Nyamhongolo huwezi kuilinganisha na ya Dodoma hata Kidogo!Nani kasema ni nzuri kuzidi ya Mwanza? Zote ni mbaya tuu.Stendi nzuri ni ya Arusha tuu View attachment 3056554
My Take: Mbeya imezidi Mwanza mbali sana ,Kahama size yake ni Tunduma na Makambako
Hivi kati ya Majiji yote ya Tanzania Mwanza mnazidi Jiji gani? ππππHata hii haina uzuri wowote ni ya kawaida tu kama Nyamhongolo huwezi kuilinganisha na ya Dodoma hata Kidogo!
Hahaha mbeya!!!Nani kasema ni nzuri kuzidi ya Mwanza? Zote ni mbaya tuu.Stendi nzuri ni ya Arusha tuu View attachment 3056554
My Take: Mbeya imezidi Mwanza mbali sana ,Kahama size yake ni Tunduma na Makambako
Sijui wametuonaje na hili Jengo kama ghala ππHahaha mbeya!!!
Bado hujasema Hadi useme π€£πππHata hii haina uzuri wowote ni ya kawaida tu kama Nyamhongolo huwezi kuilinganisha na ya Dodoma hata Kidogo!
Soon mtasema Shimamoto Arusha π₯π₯ππPako hot sana huko na hapo umepiga picha kitaa cha mwanzoni ungeingia ndani kuna mahekaru balaaaa