hii list unazan ipo fair mbona magorofa ya nssf jijini Mwanza ya ghorofa 17 hayapo? humu kwenye list yapo adi majengo ya ghorofa 12 yapo lakini ya mwanza hayapo.Nawaletea list ya maghorofa marefu tu Tanzania, ukiona ata moja lipo mwanza, niko paleeee nyau nyie washamba🤣🤣🤣List of tallest buildings in Tanzania - Wikipedia
hayo magorofa ya tanga na arusha mbona hatuyaoni mmekalia domo tu, serikali kuleta hiyo takwimu uchwara ya magorofa werevu tulishaelewa nia yao.Nafaham
Nafaham sana historia yake, ndio maana nasema mtu wa tanga au Arusha yupo juu zaidi ya mkulima wa mwanza. Ndio maana washamba wa maghorofa mpo mmekalia lete pichaa. Yapo mengi sana sina ushamba wa kupigapiga picha wewe.
Duuuh...Unaelekea kuharibu saikolojia yangu iko extra miles kwenye kufikiria. Usifike huko please
Umeua mkuuEwe mtu wa Arusha, unapobishana watu wa Mwanza kaa ukijua, wenzio wana mentality ya kijijini, ni washamba, hawana exposure, mji wao upo mbali na dunia, hakuna mtu anaujua, anautafuta wala kuwajua. Vitu vingi kwao ni vigeni. Ni watu walioamka kwa mbali sana tena juzi, mnajua sana zaidi yao. Mmewazidi kila kitu. Tafuteni miji ya maana sio Mwanza. Wenzenu kwa akili yao wanadhani wao ukitoa Dar ndio jiji la pili, pili kwa wingi wa watu labda, vingine vyoooote, wameachwa mbali sana pamoja na kubebwa na mfumo miaka kibao.
Kwa hiyo ndio icon za Mwanza hizi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endelea kujifariji....ngoja nikupe elimu kidogo we chiZi mmoja ..unayeropoka kutafuta sifa humu jukwaani ....
ukiniletea facilities hizi hapo zizini.. niite shangazi [emoji116]View attachment 2462526View attachment 2462527View attachment 2462529
Icon ya mwanza Ni hvi[emoji116]Kwa hiyo ndio icon za Mwanza hizi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umewataftia picha za kawaida sana, sema hampendagi sifa, kuna mighorofa design sijaona bongo ramani zake. Mwanza wanavighorofa vya hovyo vya kawaida sana yani hakuna maajabu.
We ongea tu ila kwenye poll mnakula za uso Kila Kona[emoji116]
Suala sio kura vitu kwa ground havilipiWe ongea tu ila kwenye poll mnakula za uso Kila Kona[emoji116]View attachment 2465648View attachment 2465650
We mtu wa dodoma ...tulia kwanza ....kama umekuja kusaidia ndugu zako ..leta point na facts sioSuala sio kura vitu kwa ground havilipi
Mi mtu wa Dodoma tangu lini?tunataka mprove mwanza ni better sio kwa kura tuonyesheni barabara mitaa hospital shule nk sio porojo na ujingaWe mtu wa dodoma ...tulia kwanza ....kama umekuja kusaidia ndugu zako ..leta point na facts sio
Wasukuma Ni wengi siku zote kwa hiyo haishangazi Ila uhalisia kwenye ground uko Kama picha zinavyoonesha na sensa inavuosemaWe ongea tu ila kwenye poll mnakula za uso Kila Kona[emoji116]View attachment 2465648View attachment 2465650
Sawa kwa miaka mitano, umeishi sehemu gani Arusha...?! Wewe ni Muongo hakuna double road hadi kufika Namanga, double road inatoka Tengeru mpaka Sakina... hata Ngaramtoni haijafika au Usa River haijafika...NIMEFANYA KAZI ARUSHA MIAKA MITANO NA SASA NIKO MWANZA MWAKA WA TATU HUU...
1. MJI WA MWANZA UNAANZIA PALE BUHONGWA MPAKA AIRPORT NA KUTOKEA HAPO CCM MKOA MPAKA IGOMA. HAPO PEKEE NDIO UNAWEZA KUITA MJINI.
2. ARUSHA UNAANZIA KULE TENGERU MPAKA NAMANGA (HII NI DOUBLE ROAD), MAIN ROAD NYINGINE KUTOKA MOSHONO MPAKA AIRPORT YA ARUSHA. NASIKIA KUNA NJIA MPYA YA EAST AFRICA IMEPITA CHINI YA NJIRO KULE. HIZO NI MAIN ROAD NDEFU SANA NA NI MJINI KOTE HUKO.
3. MWANZA IKO KARIBU SANA NA SERENGETI KUTOKA MJINI HADI PALE GETI LA SERENGETI KAMA SIKOSEI NI KILOMETA KAMA 70 TU LAKINI WATALII WOOTE WANASHUKIA KIA WANAENDA ARUSHA ILI KUANZA SAFARI YA KUITAFUTA SERENGETI (900KM). HAKUNA MTALII ANASHUKA AIRPORT YA MWANZA JAPO NI KARIBU, HAKUNA!! KWA NINI? NADHANI WANAJUA NI KIJIJI CHA UVUVI HIKI. MJI HAUNA HATA KAMPUNI YA TOURS WANAKUJAJE HAPA?
4. NILIKUWA NATENGENEZA PICHA KICHWANI MAENEO KAMA YA AICC (yale majengo) NA MAZINGIRA YAKE NITALINGANISHA NA WAPI HAPA MWANZA?
5. HILI JINA "KIJIJI CHA WAVUVI" NI LA HOVYO LAKINI WATU WA MWANZA INABIDI TU MLIKUBALI HAKUNA NAMNA. HALAFU MJITAHIDI KUTEMBELEA MIKOA MINGINE, SIO MNAJIFICHA HUKO MABATINI NA ILALILA THEN MNAKUJA KUPOST UPUUZI HAPA..[emoji35]
6. NI MSUKUMA "MJINGA" TU ATAKAYEJARIBU KULINGANISHA GENEVA OF AFRICA NA HIKI KIJIJI.
Sasa unataka nini kama picha umeshapewa Kila kitu ...unataka picha gan sasaMi mtu wa Dodoma tangu lini?tunataka mprove mwanza ni better sio kwa kura tuonyesheni barabara mitaa hospital shule nk sio porojo na ujinga
[emoji15][emoji16][emoji849][emoji849]..picha Gani hizo za filter [emoji12][emoji12]Wasukuma Ni wengi siku zote kwa hiyo haishangazi Ila uhalisia kwenye ground uko Kama picha zinavyoonesha na sensa inavuosema
Unapozungumzia picha ..make sure library yako imejaa sio urudie rudie vipicha...Wasukuma Ni wengi siku zote kwa hiyo haishangazi Ila uhalisia kwenye ground uko Kama picha zinavyoonesha na sensa inavuosema