ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Uwiano wa watu wa Arusha na Mwanza ndio huamua idadiNilishaweka takwimu za sensa sector ya Afya, arusha alikaa asubuhi na mapema, pia Elimu na majengo..... Unataka nini kingine?
[emoji16][emoji16] arusha wanakoishi diplomatic ni maeneo gani hayoWewe boya kweli yaani nirudie figures za mapato ya TRA Kila siku tunaweka, takwimu za magorofa NBS wametoa,Mahoteli na wewe unajua, matumizi ya umeme Arusha namba 4 na wewe unajua nk nk.
Yaani wewe unachekesha , uchumi na utajiri upi ikiwa mnachangia mapato kiduchu kwenye kapu la serikali? Living Standards ya Arusha ni kubwa kushinda Mwanza
Kituko kingine eti muingiliano wa watu,Mwanza huko ambalo mkiona wazungu mnaanza kuwashangaa? Kama Kuna muingiliano wa watu mbona ushamba umewazidi Hadi mnakunya ziwani?
Kituko Cha Karne kingine ni hiki,Mandhari ipi ya Mwanza Hadi kuwazidi Arusha? Arusha Kila mwaka inatakiwa kwenye trip advisor na inaitwa Geneva of Afrika,hiyo Mwanza umewahi isikia popote ikitajwa Duniani? Slums hizo ndio Mandhari au?
Huduma zipi ambazo Mwanza inazo kushinda Arusha? International schools Arusha ni nyingi kuliko Mwanza,vyuo ndio usiseme.
Hivi Mwanza Kuna porshy neighbohood au hata hujui unachoongea? Arusha wanakoishi diplomats ndio utalinganisha na huko migodini na kwenye mapango ya mawe?
Mapato ya Halmashauri yapi? Leta hapa tulinganishe.
Eti mtandao wa Barabara za lami,huu ni uzushi wa kujifariji. Ile Barabara Moja ya njia 4 na bypass Ina km nyingi kushinda Barabara zote za Mwanza.
Labda hapo kwenye miradi mikubwa tuu nothing else
Leta picha za porshy neighborhood tukuonyeshe pengine ujinga umekujaa kuliko uhalisia. Hii kitu Haina takwimu ili kuondokana nayo njoo na picha tuje na picha uone kama unastahili hata kubishaWewe boya kweli yaani nirudie figures za mapato ya TRA Kila siku tunaweka, takwimu za magorofa NBS wametoa,Mahoteli na wewe unajua, matumizi ya umeme Arusha namba 4 na wewe unajua nk nk.
Yaani wewe unachekesha , uchumi na utajiri upi ikiwa mnachangia mapato kiduchu kwenye kapu la serikali? Living Standards ya Arusha ni kubwa kushinda Mwanza
Kituko kingine eti muingiliano wa watu,Mwanza huko ambalo mkiona wazungu mnaanza kuwashangaa? Kama Kuna muingiliano wa watu mbona ushamba umewazidi Hadi mnakunya ziwani?
Kituko Cha Karne kingine ni hiki,Mandhari ipi ya Mwanza Hadi kuwazidi Arusha? Arusha Kila mwaka inatakiwa kwenye trip advisor na inaitwa Geneva of Afrika,hiyo Mwanza umewahi isikia popote ikitajwa Duniani? Slums hizo ndio Mandhari au?
Huduma zipi ambazo Mwanza inazo kushinda Arusha? International schools Arusha ni nyingi kuliko Mwanza,vyuo ndio usiseme.
Hivi Mwanza Kuna porshy neighbohood au hata hujui unachoongea? Arusha wanakoishi diplomats ndio utalinganisha na huko migodini na kwenye mapango ya mawe?
Mapato ya Halmashauri yapi? Leta hapa tulinganishe.
Eti mtandao wa Barabara za lami,huu ni uzushi wa kujifariji. Ile Barabara Moja ya njia 4 na bypass Ina km nyingi kushinda Barabara zote za Mwanza.
Labda hapo kwenye miradi mikubwa tuu nothing else
Ukiwaomba picha za hayo maghorofa na neighbourhood huwa wanakaa kimya, huwa najiuliza hizo takwimu za maghorofa 20000 ya arusha na maghorofa 9 ya mwanza mbona kama kuna uwalakini kati ya takwimu na mambo halisi kwa ground.Leta picha za porshy neighborhood tukuonyeshe pengine ujinga umekujaa kuliko uhalisia. Hii kitu Haina takwimu ili kuondokana nayo njoo na picha tuje na picha uone kama unastahili hata kubisha
Kwa akili yako unafikiri serian iko level Moja na bugando. Acha ujinga ujue. Sekta ya afya kwa ujumla mwanza iko ahead of Arusha .Hilo la hospital ondoa kabisaa bakia na hayo mengine
Nasubiri Mr. Falla sunk ajitoe ufahamu atume picha aone kama kamasi halijamtoka masikioniUkiwaomba picha za hayo maghorofa na neighbourhood huwa wanakaa kimya, huwa najiuliza hizo takwimu za maghorofa 20000 ya arusha na maghorofa 9 ya mwanza mbona kama kuna uwalakini kati ya takwimu na mambo halisi kwa ground.
We kweli ni kichaa kama sio chiZi ,, mapato ya TRA mbeya imepigwa za uso na Kagera ,Musoma ,na songwe...hii inamaanisha mikoa hyo ni matajiri kuliko mbeya .. ..Wewe boya kweli yaani nirudie figures za mapato ya TRA Kila siku tunaweka, takwimu za magorofa NBS wametoa,Mahoteli na wewe unajua, matumizi ya umeme Arusha namba 4 na wewe unajua nk nk.
Yaani wewe unachekesha , uchumi na utajiri upi ikiwa mnachangia mapato kiduchu kwenye kapu la serikali? Living Standards ya Arusha ni kubwa kushinda Mwanza
Kituko kingine eti muingiliano wa watu,Mwanza huko ambalo mkiona wazungu mnaanza kuwashangaa? Kama Kuna muingiliano wa watu mbona ushamba umewazidi Hadi mnakunya ziwani?
Kituko Cha Karne kingine ni hiki,Mandhari ipi ya Mwanza Hadi kuwazidi Arusha? Arusha Kila mwaka inatakiwa kwenye trip advisor na inaitwa Geneva of Afrika,hiyo Mwanza umewahi isikia popote ikitajwa Duniani? Slums hizo ndio Mandhari au?
Huduma zipi ambazo Mwanza inazo kushinda Arusha? International schools Arusha ni nyingi kuliko Mwanza,vyuo ndio usiseme.
Hivi Mwanza Kuna porshy neighbohood au hata hujui unachoongea? Arusha wanakoishi diplomats ndio utalinganisha na huko migodini na kwenye mapango ya mawe?
Mapato ya Halmashauri yapi? Leta hapa tulinganishe.
Eti mtandao wa Barabara za lami,huu ni uzushi wa kujifariji. Ile Barabara Moja ya njia 4 na bypass Ina km nyingi kushinda Barabara zote za Mwanza.
Labda hapo kwenye miradi mikubwa tuu nothing else
Eti wanakoishi diplomats... tofauti na njiro ni mtaa gani arusha wa kuuita porshy neighborhood........,,,,[emoji16][emoji16] arusha wanakoishi diplomatic ni maeneo gani hayo
Arusha hakuna sehemu yenye makazi standards kuizidi shamaliwa mwanza [emoji16][emoji16].. picha zitaongea nikunyooshe
Hapo bado sijataja mitaa na kata za matycoons kama capri point,bwiru,nyasaka,mwananchi, kiseke,nyamhongolo,monarch,nyegezi majengo mapya na baba Lao buswelu golden city[emoji16]
Hilo la wakazi kunya ziwani sijui umelitoa wapi?... naomba unitajie mtaa mmoja unaopakana na ziwa hadi wanachi wa huo mtaa waende kujisaidia ziwani
Kama hii ndio dual carriage mnayoipigia kelele humu ...Bora hata tusiwe nayo .Wewe boya kweli yaani nirudie figures za mapato ya TRA Kila siku tunaweka, takwimu za magorofa NBS wametoa,Mahoteli na wewe unajua, matumizi ya umeme Arusha namba 4 na wewe unajua nk nk.
Yaani wewe unachekesha , uchumi na utajiri upi ikiwa mnachangia mapato kiduchu kwenye kapu la serikali? Living Standards ya Arusha ni kubwa kushinda Mwanza
Kituko kingine eti muingiliano wa watu,Mwanza huko ambalo mkiona wazungu mnaanza kuwashangaa? Kama Kuna muingiliano wa watu mbona ushamba umewazidi Hadi mnakunya ziwani?
Kituko Cha Karne kingine ni hiki,Mandhari ipi ya Mwanza Hadi kuwazidi Arusha? Arusha Kila mwaka inatakiwa kwenye trip advisor na inaitwa Geneva of Afrika,hiyo Mwanza umewahi isikia popote ikitajwa Duniani? Slums hizo ndio Mandhari au?
Huduma zipi ambazo Mwanza inazo kushinda Arusha? International schools Arusha ni nyingi kuliko Mwanza,vyuo ndio usiseme.
Hivi Mwanza Kuna porshy neighbohood au hata hujui unachoongea? Arusha wanakoishi diplomats ndio utalinganisha na huko migodini na kwenye mapango ya mawe?
Mapato ya Halmashauri yapi? Leta hapa tulinganishe.
Eti mtandao wa Barabara za lami,huu ni uzushi wa kujifariji. Ile Barabara Moja ya njia 4 na bypass Ina km nyingi kushinda Barabara zote za Mwanza.
Labda hapo kwenye miradi mikubwa tuu nothing else
Unajitoa ufahamu au siyo? [emoji16][emoji16]Kama hii ndio dual carriage mnayoipigia kelele humu ...Bora hata tusiwe nayo .
[emoji28][emoji28]...
Huu ni uchafu sio dual carriage.ya kuwa kwenye majiji ...sana sana tutaita njia mbili
Kingine ukitaka kuamini Arusha mitaa yake ni mabanda na migomba tazama hii video tokea tengeru angalia mitaa yake ,,Hadi ufike Sakina [emoji12][emoji12][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama kipofu utasoma hivyo hivyo [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]We kweli ni kichaa kama sio chiZi ,, mapato ya TRA mbeya imepigwa za uso na Kagera ,Musoma ,na songwe...hii inamaanisha mikoa hyo ni matajiri kuliko mbeya .. ..
Mpaka sasa hujaleta empirical evidence ya kuthibitisha maneno yako hayo .. living standard, barabara,huduma za afya nk...
Kuhusu mandhari hata usiongee Dar,kigali,hazijatajwi na trip advisor Kwa hyo ni miji mibaya ...kadri siku zinavyoenda unazidi kuwa out of your mind View attachment 2519249
Sent using Jamii Forums mobile app
Beach za kazi gani wakati.kuna Mandhari kama Switzerland hukoMji bila beach ni kama tako bila chupi.
Arusha ni pazuri ila kitendo cha kukosa beach kimeharibu ladha yote ya city.
Mwanza ni pazuri kuliko Arusha na bado kuna beach ila bado mnashindanisha[emoji38][emoji38]
Hii center inajengwa jengo la ghorofa 9Nasubiri Mr. Falla sunk ajitoe ufahamu atume picha aone kama kamasi halijamtoka masikioni
[emoji16][emoji16][emoji16] naona ananikwepa kama ukoma... nilijua atakuja na picha za njiro nimpe vitu hadi akili yake itulieEti wanakoishi diplomats... tofauti na njiro ni mtaa gani arusha wa kuuita porshy neighborhood........,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaruka ruka leta hizo za mitaa wanakoishi vitajiri vya arusha nikupe somo [emoji16] la bureUnajitoa ufahamu au siyo? [emoji16][emoji16]
Dual carriage inaanzia njia 4 na kuendelea, hakunaga kitu inaitwa njia 2 .
Kwani hiyo Ina shida gani na zingine zikoje Mzee?
Mandhari kama hii ya mwanza au[emoji16][emoji16][emoji16]Beach za kazi gani wakati.kuna Mandhari kama Switzerland huko
Mkuu baasii usitoe silaha zote utamuua, kwanza saivi ili takiwa tuanze kufikiria tunamsogeleaje kwa ukaribu zaidi darMandhari kama hii ya mwanza au[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2519347
Kubattle na miji kams Arusha, mbeya na Dodoma nikuendelea kujidumaza tu, tunatakiwa twende extra miles, tubattle na miji mikubwa tupate miundombinu tunazostahili kama jiji la Mwanza.Mkuu baasii usitoe silaha zote utamuua, kwanza saivi ili takiwa tuanze kufikiria tunamsogeleaje kwa ukaribu zaidi dar
Tukienda kwa mfumo huo utakimbia. See this center below ipo under constructionHii center inajengwa jengo la ghorofa 9
Government Injects TZS 19 Billion in Tanzania Gemological Center
It will enable the centre to provide training on an international level and thus enable our processed minerals in Tanzania.www.tanzaniainvest.com