Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Nilishaweka takwimu za sensa sector ya Afya, arusha alikaa asubuhi na mapema, pia Elimu na majengo..... Unataka nini kingine?
Uwiano wa watu wa Arusha na Mwanza ndio huamua idadi

Screenshot_20230214-082827.jpg


Arusha 429 na Mwanza 520
 
Wewe boya kweli yaani nirudie figures za mapato ya TRA Kila siku tunaweka, takwimu za magorofa NBS wametoa,Mahoteli na wewe unajua, matumizi ya umeme Arusha namba 4 na wewe unajua nk nk.

Yaani wewe unachekesha , uchumi na utajiri upi ikiwa mnachangia mapato kiduchu kwenye kapu la serikali? Living Standards ya Arusha ni kubwa kushinda Mwanza

Kituko kingine eti muingiliano wa watu,Mwanza huko ambalo mkiona wazungu mnaanza kuwashangaa? Kama Kuna muingiliano wa watu mbona ushamba umewazidi Hadi mnakunya ziwani?

Kituko Cha Karne kingine ni hiki,Mandhari ipi ya Mwanza Hadi kuwazidi Arusha? Arusha Kila mwaka inatakiwa kwenye trip advisor na inaitwa Geneva of Afrika,hiyo Mwanza umewahi isikia popote ikitajwa Duniani? Slums hizo ndio Mandhari au?

Huduma zipi ambazo Mwanza inazo kushinda Arusha? International schools Arusha ni nyingi kuliko Mwanza,vyuo ndio usiseme.

Hivi Mwanza Kuna porshy neighbohood au hata hujui unachoongea? Arusha wanakoishi diplomats ndio utalinganisha na huko migodini na kwenye mapango ya mawe?

Mapato ya Halmashauri yapi? Leta hapa tulinganishe.

Eti mtandao wa Barabara za lami,huu ni uzushi wa kujifariji. Ile Barabara Moja ya njia 4 na bypass Ina km nyingi kushinda Barabara zote za Mwanza.

Labda hapo kwenye miradi mikubwa tuu nothing else
[emoji16][emoji16] arusha wanakoishi diplomatic ni maeneo gani hayo

Arusha hakuna sehemu yenye makazi standards kuizidi shamaliwa mwanza [emoji16][emoji16].. picha zitaongea nikunyooshe


Hapo bado sijataja mitaa na kata za matycoons kama capri point,bwiru,nyasaka,mwananchi, kiseke,nyamhongolo,monarch,nyegezi majengo mapya na baba Lao buswelu golden city[emoji16]

Hilo la wakazi kunya ziwani sijui umelitoa wapi?... naomba unitajie mtaa mmoja unaopakana na ziwa hadi wanachi wa huo mtaa waende kujisaidia ziwani
 
Wewe boya kweli yaani nirudie figures za mapato ya TRA Kila siku tunaweka, takwimu za magorofa NBS wametoa,Mahoteli na wewe unajua, matumizi ya umeme Arusha namba 4 na wewe unajua nk nk.

Yaani wewe unachekesha , uchumi na utajiri upi ikiwa mnachangia mapato kiduchu kwenye kapu la serikali? Living Standards ya Arusha ni kubwa kushinda Mwanza

Kituko kingine eti muingiliano wa watu,Mwanza huko ambalo mkiona wazungu mnaanza kuwashangaa? Kama Kuna muingiliano wa watu mbona ushamba umewazidi Hadi mnakunya ziwani?

Kituko Cha Karne kingine ni hiki,Mandhari ipi ya Mwanza Hadi kuwazidi Arusha? Arusha Kila mwaka inatakiwa kwenye trip advisor na inaitwa Geneva of Afrika,hiyo Mwanza umewahi isikia popote ikitajwa Duniani? Slums hizo ndio Mandhari au?

Huduma zipi ambazo Mwanza inazo kushinda Arusha? International schools Arusha ni nyingi kuliko Mwanza,vyuo ndio usiseme.

Hivi Mwanza Kuna porshy neighbohood au hata hujui unachoongea? Arusha wanakoishi diplomats ndio utalinganisha na huko migodini na kwenye mapango ya mawe?

Mapato ya Halmashauri yapi? Leta hapa tulinganishe.

Eti mtandao wa Barabara za lami,huu ni uzushi wa kujifariji. Ile Barabara Moja ya njia 4 na bypass Ina km nyingi kushinda Barabara zote za Mwanza.

Labda hapo kwenye miradi mikubwa tuu nothing else
Leta picha za porshy neighborhood tukuonyeshe pengine ujinga umekujaa kuliko uhalisia. Hii kitu Haina takwimu ili kuondokana nayo njoo na picha tuje na picha uone kama unastahili hata kubisha
 
Leta picha za porshy neighborhood tukuonyeshe pengine ujinga umekujaa kuliko uhalisia. Hii kitu Haina takwimu ili kuondokana nayo njoo na picha tuje na picha uone kama unastahili hata kubisha
Ukiwaomba picha za hayo maghorofa na neighbourhood huwa wanakaa kimya, huwa najiuliza hizo takwimu za maghorofa 20000 ya arusha na maghorofa 9 ya mwanza mbona kama kuna uwalakini kati ya takwimu na mambo halisi kwa ground.
 
Ukiwaomba picha za hayo maghorofa na neighbourhood huwa wanakaa kimya, huwa najiuliza hizo takwimu za maghorofa 20000 ya arusha na maghorofa 9 ya mwanza mbona kama kuna uwalakini kati ya takwimu na mambo halisi kwa ground.
Nasubiri Mr. Falla sunk ajitoe ufahamu atume picha aone kama kamasi halijamtoka masikioni
 
Mji bila beach ni kama tako bila chupi.
Arusha ni pazuri ila kitendo cha kukosa beach kimeharibu ladha yote ya city.
Mwanza ni pazuri kuliko Arusha na bado kuna beach ila bado mnashindanisha[emoji38][emoji38]
 
Wewe boya kweli yaani nirudie figures za mapato ya TRA Kila siku tunaweka, takwimu za magorofa NBS wametoa,Mahoteli na wewe unajua, matumizi ya umeme Arusha namba 4 na wewe unajua nk nk.

Yaani wewe unachekesha , uchumi na utajiri upi ikiwa mnachangia mapato kiduchu kwenye kapu la serikali? Living Standards ya Arusha ni kubwa kushinda Mwanza

Kituko kingine eti muingiliano wa watu,Mwanza huko ambalo mkiona wazungu mnaanza kuwashangaa? Kama Kuna muingiliano wa watu mbona ushamba umewazidi Hadi mnakunya ziwani?

Kituko Cha Karne kingine ni hiki,Mandhari ipi ya Mwanza Hadi kuwazidi Arusha? Arusha Kila mwaka inatakiwa kwenye trip advisor na inaitwa Geneva of Afrika,hiyo Mwanza umewahi isikia popote ikitajwa Duniani? Slums hizo ndio Mandhari au?

Huduma zipi ambazo Mwanza inazo kushinda Arusha? International schools Arusha ni nyingi kuliko Mwanza,vyuo ndio usiseme.

Hivi Mwanza Kuna porshy neighbohood au hata hujui unachoongea? Arusha wanakoishi diplomats ndio utalinganisha na huko migodini na kwenye mapango ya mawe?

Mapato ya Halmashauri yapi? Leta hapa tulinganishe.

Eti mtandao wa Barabara za lami,huu ni uzushi wa kujifariji. Ile Barabara Moja ya njia 4 na bypass Ina km nyingi kushinda Barabara zote za Mwanza.

Labda hapo kwenye miradi mikubwa tuu nothing else
We kweli ni kichaa kama sio chiZi ,, mapato ya TRA mbeya imepigwa za uso na Kagera ,Musoma ,na songwe...hii inamaanisha mikoa hyo ni matajiri kuliko mbeya .. ..
Mpaka sasa hujaleta empirical evidence ya kuthibitisha maneno yako hayo .. living standard, barabara,huduma za afya nk...
Kuhusu mandhari hata usiongee Dar,kigali,hazijatajwi na trip advisor Kwa hyo ni miji mibaya ...kadri siku zinavyoenda unazidi kuwa out of your mind
20230210_104552.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16] arusha wanakoishi diplomatic ni maeneo gani hayo

Arusha hakuna sehemu yenye makazi standards kuizidi shamaliwa mwanza [emoji16][emoji16].. picha zitaongea nikunyooshe


Hapo bado sijataja mitaa na kata za matycoons kama capri point,bwiru,nyasaka,mwananchi, kiseke,nyamhongolo,monarch,nyegezi majengo mapya na baba Lao buswelu golden city[emoji16]

Hilo la wakazi kunya ziwani sijui umelitoa wapi?... naomba unitajie mtaa mmoja unaopakana na ziwa hadi wanachi wa huo mtaa waende kujisaidia ziwani
Eti wanakoishi diplomats... tofauti na njiro ni mtaa gani arusha wa kuuita porshy neighborhood........,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe boya kweli yaani nirudie figures za mapato ya TRA Kila siku tunaweka, takwimu za magorofa NBS wametoa,Mahoteli na wewe unajua, matumizi ya umeme Arusha namba 4 na wewe unajua nk nk.

Yaani wewe unachekesha , uchumi na utajiri upi ikiwa mnachangia mapato kiduchu kwenye kapu la serikali? Living Standards ya Arusha ni kubwa kushinda Mwanza

Kituko kingine eti muingiliano wa watu,Mwanza huko ambalo mkiona wazungu mnaanza kuwashangaa? Kama Kuna muingiliano wa watu mbona ushamba umewazidi Hadi mnakunya ziwani?

Kituko Cha Karne kingine ni hiki,Mandhari ipi ya Mwanza Hadi kuwazidi Arusha? Arusha Kila mwaka inatakiwa kwenye trip advisor na inaitwa Geneva of Afrika,hiyo Mwanza umewahi isikia popote ikitajwa Duniani? Slums hizo ndio Mandhari au?

Huduma zipi ambazo Mwanza inazo kushinda Arusha? International schools Arusha ni nyingi kuliko Mwanza,vyuo ndio usiseme.

Hivi Mwanza Kuna porshy neighbohood au hata hujui unachoongea? Arusha wanakoishi diplomats ndio utalinganisha na huko migodini na kwenye mapango ya mawe?

Mapato ya Halmashauri yapi? Leta hapa tulinganishe.

Eti mtandao wa Barabara za lami,huu ni uzushi wa kujifariji. Ile Barabara Moja ya njia 4 na bypass Ina km nyingi kushinda Barabara zote za Mwanza.

Labda hapo kwenye miradi mikubwa tuu nothing else
Kama hii ndio dual carriage mnayoipigia kelele humu ...Bora hata tusiwe nayo .
[emoji28][emoji28]...
Huu ni uchafu sio dual carriage.ya kuwa kwenye majiji ...sana sana tutaita njia mbili

Kingine ukitaka kuamini Arusha mitaa yake ni mabanda na migomba tazama hii video tokea tengeru angalia mitaa yake ,,Hadi ufike Sakina [emoji12][emoji12][emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hii ndio dual carriage mnayoipigia kelele humu ...Bora hata tusiwe nayo .
[emoji28][emoji28]...
Huu ni uchafu sio dual carriage.ya kuwa kwenye majiji ...sana sana tutaita njia mbili

Kingine ukitaka kuamini Arusha mitaa yake ni mabanda na migomba tazama hii video tokea tengeru angalia mitaa yake ,,Hadi ufike Sakina [emoji12][emoji12][emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
Unajitoa ufahamu au siyo? [emoji16][emoji16]

Dual carriage inaanzia njia 4 na kuendelea, hakunaga kitu inaitwa njia 2 .

Kwani hiyo Ina shida gani na zingine zikoje Mzee?
 
We kweli ni kichaa kama sio chiZi ,, mapato ya TRA mbeya imepigwa za uso na Kagera ,Musoma ,na songwe...hii inamaanisha mikoa hyo ni matajiri kuliko mbeya .. ..
Mpaka sasa hujaleta empirical evidence ya kuthibitisha maneno yako hayo .. living standard, barabara,huduma za afya nk...
Kuhusu mandhari hata usiongee Dar,kigali,hazijatajwi na trip advisor Kwa hyo ni miji mibaya ...kadri siku zinavyoenda unazidi kuwa out of your mind View attachment 2519249

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama kipofu utasoma hivyo hivyo [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
IMG-20221211-WA0004.jpg
 
Mji bila beach ni kama tako bila chupi.
Arusha ni pazuri ila kitendo cha kukosa beach kimeharibu ladha yote ya city.
Mwanza ni pazuri kuliko Arusha na bado kuna beach ila bado mnashindanisha[emoji38][emoji38]
Beach za kazi gani wakati.kuna Mandhari kama Switzerland huko
 
Unajitoa ufahamu au siyo? [emoji16][emoji16]

Dual carriage inaanzia njia 4 na kuendelea, hakunaga kitu inaitwa njia 2 .

Kwani hiyo Ina shida gani na zingine zikoje Mzee?
Mbona unaruka ruka leta hizo za mitaa wanakoishi vitajiri vya arusha nikupe somo [emoji16] la bure
 
Mkuu baasii usitoe silaha zote utamuua, kwanza saivi ili takiwa tuanze kufikiria tunamsogeleaje kwa ukaribu zaidi dar
Kubattle na miji kams Arusha, mbeya na Dodoma nikuendelea kujidumaza tu, tunatakiwa twende extra miles, tubattle na miji mikubwa tupate miundombinu tunazostahili kama jiji la Mwanza.
 
Back
Top Bottom