Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Aibu ndogo ndogo kama hizi msiwe mnajitakia..

Hivi hizo ni Barabara kweli au ushenzi? Umewahi kuona Dar Kuna vibarabara vya hovyo kama hivyo?

Jifunzeni hata Mbeya Barabara za mtaani View attachment 2522045
IMG_20230201_101546_259.jpg
 
Kama hauijui kata ya nyatako mwanza ndio hiii sasa nikubwa kuizidi arusha yote na nzuri balaaa

Ukichukua kata mbili za nyakato na kirumba ni kubwa kuizidi arusha town+dodoma na mbeya combined [emoji3][emoji3]

Napiga kwenye utosi... matajiri wapo uku[emoji95][emoji95]
20221211_184030.jpg
MVIMG_20221211_183516.jpg
MVIMG_20221211_183730.jpg
 
Hizo ni picha za mitaani wala sio town [emoji1][emoji1] leo nataka nikuoneshe ni jinsi gani mwanza kubwa na nzuri kuizidi arusha
Acheni kutoa aibu,hivi huo Mji wenu Kwa nini hamjengi Barabara Zenye viwango na hadhi ya Jiji?
 
Aibu ndogo ndogo kama hizi msiwe mnajitakia..

Hivi hizo ni Barabara kweli au ushenzi? Umewahi kuona Dar Kuna vibarabara vya hovyo kama hivyo?

Jifunzeni hata Mbeya Barabara za mtaani View attachment 2522045View attachment 2522046
[emoji3][emoji3][emoji3] kwenye barabara za mitaani utakimbia tena... ok basi twende na barabara za mitaani


Kazi yangu kuu ni kupiga utosi

Nimekumia baadhi ya barabara za mitaani kilometer 10+ kutoka city center [emoji16][emoji16]

Usije na mitaa ilipitiwa na barabara kuuu
20220710_162737.jpg
20220924_171307.jpg
SHA_20220727_164543538_8.4.400.jpg
SHA_20220710_173836602_8.4.400.jpg
SHA_20220727_174135710_8.4.400.jpg
SHA_20220711_143338035_8.4.400.jpg
SHA_20220710_175218827_8.4.400.jpg
20220710_163720.jpg
 
Arusha ni Geneva ya Africa tunaitaji picha za mitaa wanakoishi madoni[emoji16] mmekimbia

Barabara za mitaa mmekimbiaa

City center napo mmekimbia basi njooni mtubu
 
Back
Top Bottom