Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Hizo ni picha za mitaani wala sio town [emoji1][emoji1] leo nataka nikuoneshe ni jinsi gani mwanza kubwa na nzuri kuizidi arushaHapa Kuna nini Cha ajabu Sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni picha za mitaani wala sio town [emoji1][emoji1] leo nataka nikuoneshe ni jinsi gani mwanza kubwa na nzuri kuizidi arushaHapa Kuna nini Cha ajabu Sasa?
Aibu ndogo ndogo kama hizi msiwe mnajitakia..Rock city ni Green
Mtaa wa kambarage [emoji95][emoji95][emoji95][emoji378]View attachment 2521990View attachment 2521991View attachment 2521992View attachment 2521993View attachment 2521994View attachment 2521995View attachment 2521997View attachment 2521998
Acheni kutoa aibu,hivi huo Mji wenu Kwa nini hamjengi Barabara Zenye viwango na hadhi ya Jiji?Hizo ni picha za mitaani wala sio town [emoji1][emoji1] leo nataka nikuoneshe ni jinsi gani mwanza kubwa na nzuri kuizidi arusha
Kamji kenu ni hovyo sana.Kiboko ya hii ni hilo hapo jengo la tecno 13+ floor plus underground 14
View attachment 2521974
Hii si uyole kabisa hapo?Kama hauijui kata ya nyatako mwanza ndio hiii sasa nikubwa kuizidi arusha yote na nzuri balaaa
Ukichukua kata mbili za nyakato na kirumba ni kubwa kuizidi arusha town+dodoma na mbeya combined [emoji3][emoji3]
Napiga kwenye utosi... matajiri wapo uku[emoji95][emoji95]View attachment 2522039View attachment 2522041View attachment 2522047
[emoji16][emoji16][emoji16] hakuna Jiji hapo tunachoshana tuuNmeshtukia baada ya kuona vibanda ni vingi kuliko nyumba
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hapo si ni mwanza [emoji28]...naona bugando hospital kule kwa mbaliKojoa ulale,Arusha is next level View attachment 2521822View attachment 2521821
Arusha is amazing View attachment 2522067View attachment 2522068View attachment 2522066[emoji1787][emoji1787][emoji1787] iyo ni mwanza mmeanza kuchanganyikiwa mnatuma pic za mwanz mnasema Arusha. Uzi ufungwe
[emoji3][emoji3][emoji3] kwenye barabara za mitaani utakimbia tena... ok basi twende na barabara za mitaaniAibu ndogo ndogo kama hizi msiwe mnajitakia..
Hivi hizo ni Barabara kweli au ushenzi? Umewahi kuona Dar Kuna vibarabara vya hovyo kama hivyo?
Jifunzeni hata Mbeya Barabara za mtaani View attachment 2522045View attachment 2522046
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mimi sitaki nikudanganye zoom hio picha utakacho kiona jikaze kiumeHii si uyole kabisa hapo?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hivi nyie hamana picha za nje ya city centerWatu wa Mwanza mjifunze kujenga Miji kwenye mitaa yaani Kila sehemu ni ushuzi..
Aisee Tanzania Ina Majiji 3 tuu,Dar,Dom na Arusha.
Chuga [emoji91][emoji91]View attachment 2522060View attachment 2522061View attachment 2522062
Kwani Arusha hamna picha nyingine ya kutuonesha zaidi ya hii ya mitaa ya stand [emoji28]
Wakileta niite nipo hapa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hivi nyie hamana picha za nje ya city center
Tunaitaji picha za mitaaa mnayoishi[emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1] wanaruka ruka tu kama bisi...Wakileta niite nipo hapa
UzunguniArusha ni Geneva ya Africa tunaitaji picha za mitaa wanakoishi madoni[emoji16] mmekimbia
Barabara za mitaa mmekimbiaa
City center napo mmekimbia basi njooni mtubu
Ngoja nikufundishe adabu ,,,maana na vibe la raja Casablanca hapa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji4][emoji4]Uzunguni
Kijenge
Makao mapya
Njiro ppf
Nk nk View attachment 2522114View attachment 2522116View attachment 2522115View attachment 2522117View attachment 2522118View attachment 2522119