Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Mwanza hamna barabara nzuri.hater mmoja Toka njombe alisikika akisema..Uzunguni
Kijenge
Makao mapya
Njiro ppf
Nk nk View attachment 2522114View attachment 2522116View attachment 2522115View attachment 2522117View attachment 2522118View attachment 2522119
Uswazi tupu [emoji13][emoji13]Ngoja nikufundishe adabu ,,,maana na vibe la raja Casablanca hapa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji4][emoji4]
Tunaanza na ilemela malaika front [emoji116]View attachment 2522124View attachment 2522125View attachment 2522127View attachment 2522128
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza Tanzania [emoji16][emoji16][emoji16]Et Dodoma arusha ulinganishe na Mwanza mnaumwa akili
Yaani mnaishi kwenye mawe na maponga [emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Capri point Mwanza inaenda ligi moja na masaki ya dar hutaki kunya tikiti[emoji16][emoji16][emoji16]
Hiii inaitwa MWANA UKOME
Mwanza ni taifa kubwa sana
Capri point mwanza Tanzania na hiii ni Capri point tu bado bwiru,nyasaka,kiseke,nyegezi majengo mapya,mwananchi,nyamhongolo [emoji16][emoji16]
Njiro left[emoji3]
Baada ya Capri point bwiru typing.. nyasaka tying....mwananchi tying [emoji3].... kiseke[emoji16][emoji16].... ilemela [emoji1][emoji1]... isamilo tying Arusha,mbeya,dodoma,tanga left[emoji378]... .. igogo [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2522231View attachment 2522234View attachment 2522235View attachment 2522236View attachment 2522239View attachment 2522240View attachment 2522241View attachment 2522242View attachment 2522243View attachment 2522244View attachment 2522246View attachment 2522247View attachment 2522248View attachment 2522249View attachment 2522250View attachment 2522252View attachment 2522254View attachment 2522256View attachment 2522257View attachment 2522258View attachment 2522260View attachment 2522266View attachment 2522267View attachment 2522269View attachment 2522272View attachment 2522277View attachment 2522279View attachment 2522278
mkuu kuilinganisha Mwanza ña Arusha ni embarrassment kwa Mwanza,nashauri watu wa mwanza hata msichangie tena kwenye hii battle kwa ajili ya heshima ya mwanza,Mwanza hamna barabara nzuri.hater mmoja Toka njombe alisikika akisema..
[emoji116]View attachment 2522573View attachment 2522583
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa uzunguni,kijenge,njiro na wapi vile[emoji3][emoji3]Yaani mnaishi kwenye mawe na maponga [emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Post upya ... [emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...hiyo vegetation Iko wapi hapa [emoji28][emoji116][emoji116][emoji116]Acheni kujifariji nyie looser wa Mwanza..
Arusha ni tourist city nyumba zake lazima ziwe kwenye Mandhari safi na vegetation ya kutosha sio kujenga nyumba Juu ya mapango na mawe kama makazi ya nyoka na kenge.
ChugaView attachment 2522591View attachment 2522593View attachment 2522592View attachment 2522594
Nimesha post unaita vichaka Sasa tunakusaidiaje? Tourist Huwa haiwezi jangwa na mawePost upya ... [emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...hiyo vegetation Iko wapi hapa [emoji28][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2522642
Sent using Jamii Forums mobile app
Tourist Huwa haijengwi na mawe .sema bas na hapa ni Mwanza ,,,,,Nimesha post unaita vichaka Sasa tunakusaidiaje? Tourist Huwa haiwezi jangwa na mawe
Huna lolote ni wivu unakusumbua😝😝😝Hapa Kuna nini Cha ajabu Sasa?
[emoji28][emoji28][emoji28]....... tourism gan ........umeambiwa upost villas ,umeshindwa hapa ,umebaki kubung'aa macho ,mwambie tuusan akusaidie [emoji16]Nimesha post unaita vichaka Sasa tunakusaidiaje? Tourist Huwa haiwezi jangwa na mawe
Unalinganisha cbd ya arusha na kata ya Nyakato, Hakika Mwanza ni dude kubwaaa sana lenye kutisha, leteni na picha za makazi ya arusha tuone.Kamji kenu ni hovyo sana.
Arusha View attachment 2522052View attachment 2522053View attachment 2522054View attachment 2522056
Kama cbd ya mbeya inafananishwa na makazi ya nyakato Mwanza basi mnasafari ndefu sana.Hii si uyole kabisa hapo?
Leta picha za neighbourhoods za arusha hapo cbd tumeshapachoka, kila saa ni picha hiyo hiyo tu.Watu wa Mwanza mjifunze kujenga Miji kwenye mitaa yaani Kila sehemu ni ushuzi..
Aisee Tanzania Ina Majiji 3 tuu,Dar,Dom na Arusha.
Chuga [emoji91][emoji91]View attachment 2522060View attachment 2522061View attachment 2522062
Hii nyakato haipo ata kwenya top 10 ya best neighbourhood za Mwanza lakn inaikalisha cbd ya mbeya na arusha.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mimi sitaki nikudanganye zoom hio picha utakacho kiona jikaze kiume
Hio picha nimeipiga mm mwenyewe kwa simu yangu [emoji16] labda ningekua na camera yenye pixels 500 ungeona details vizuriView attachment 2522084
Watolee wapi sasa wakati miji yao nje ya cbd ni uchafu tu.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hivi nyie hamana picha za nje ya city center
Tunaitaji picha za mitaaa mnayoishi[emoji1]
Naiona capripoint ya miaka mitano ijayo.Tourist Huwa haijengwi na mawe .sema bas na hapa ni Mwanza ,,,,,
Cape town the most attractive city in AFRICA View attachment 2522647View attachment 2522649
Sent using Jamii Forums mobile app