Hilo ni li_sunk Falla limebadili IDUnajipendekeza kwa machalii WALISHAKUBONG'OA si bure.
Kwa kweli me huwa nachoka mtu akisema watu wa mwanza ni washamba, sasa mtu unajiuliza ushamba wetu upo wapi[emoji23] mbona tunaishi na ma vitu makubwa makubwa, majumba, mahospital, ma mall, ma hotel, ma beach na yote tumeyazoeaaWasukuma washamba.... wanakotoka Wasukuma sasa [emoji16][emoji16]
Vipi kama hapa pangekua ni arusha[emoji16][emoji16]
MWANZA Tanzania,,,
Leo kazi yangu ni kuwafungua ubongo watu wa arusha[emoji16] View attachment 2522750View attachment 2522751
Wewe ndio umeua kabisa[emoji378][emoji378][emoji378]
Shida ya walio wengi hawajui kutofautisha maneno haya matatu,USHAMBA, ULIMBUKENI NA UJANJA. Hiyo imekuwa kama silaha kwamba ukimuwahi mwenzio kumwambia mshamba basi wewe utaonekana mjanja sana. Akili hii huchagizwa na matumizi ya madawa, nahisi mnawajua watumiaji wanavyokuwa wababe na kujiona wajanja, bangi na mbege😀😀😀😀. Kwenye mbege nimetania.Kwa kweli me huwa nachoka mtu akisema watu wa mwanza ni washamba, sasa mtu unajiuliza ushamba wetu upo wapi[emoji23] mbona tunaishi na ma vitu makubwa makubwa, majumba, mahospital, ma mall, ma hotel, ma beach na yote tumeyazoeaa
Naiona buzuruga Kwa chini hapoView attachment 2522847View attachment 2522850View attachment 2522854View attachment 2522860
Najaribu tu kuwapitisha. Competition haiko fair asee. Level zetu zinajulikana
Aisee mbona hicho kimji kimepauka sana?View attachment 2522847View attachment 2522850View attachment 2522854View attachment 2522860
Najaribu tu kuwapitisha. Competition haiko fair asee. Level zetu zinajulikana
Ndo utajua hujuiAisee mbona hicho kimji kimepauka sana?
Naam mkuu
Kwa bullet hizi lazima wakimbie .umewapiga Kwa kutumia HIMARS launcherView attachment 2522912View attachment 2522913View attachment 2522914
Namna hii Bado mnasema battle iendelee. Kuna vitu havijibiki kwa picha Wala maneno
Kuna vumbi tifu na harufu flan ya kukera.Halafu vijumba vyake utadhani upo maeneo ya Kibera[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Haya maeneo ukisikia majina yake yakitajwa utafikiri pako poa sana, fika kajionee ndo utajua kwa Mungu si kwa mzungu.
[emoji23][emoji23][emoji23] umewavurugaHatimae uzi umepoa [emoji1][emoji1][emoji1] watu wa chuga wameacha viatu wameenda kunywa mbege sakina.
Hivi miradi ya tactic itaanza lini dejane?Yesssss
Hivi miradi ya tactic itaanza lini dejane?