No signal
Member
- Jul 27, 2020
- 83
- 317
Uwa siwaelewi mnavo sema Arusha inamagorofa mengi wakati CBD ya Arusha ukipiga picha moja unaona tugorofa twote hayo mengi yapo wapi? Lakin CBD ya mwanza inahitaji upige picha zaidi ya uwone majengo yote. Mwanza inamagorofa mwengi than ArushaShida ni mwanza wameanza kuona maghorofa na supermarkets nk kuanzia 2010s ndio maana bado mna ulimbukeni na mapicha kila kukicha. Nenda NBS kaangalie miji inayoongoza kwa majengo ya maghorofa nk niliweka mashamba yakatulia kama yapo kwenye fridge. Washamba. Mwanza ina high concentration ya walugaluga. Backwards, genetically idiots. Nikianza kupost hapa mtasema sijui sio arusha au wapi, Arusha waliwatangulia kitambo. Mnajaribu kujishindanisha ili mpate haueni kisaikolojia ila nchi nzima ukisema unatoka mwanza nobody cares wanakuona mshamba wa kawaida ata 5G tu hakuna.