Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Shida ni mwanza wameanza kuona maghorofa na supermarkets nk kuanzia 2010s ndio maana bado mna ulimbukeni na mapicha kila kukicha. Nenda NBS kaangalie miji inayoongoza kwa majengo ya maghorofa nk niliweka mashamba yakatulia kama yapo kwenye fridge. Washamba. Mwanza ina high concentration ya walugaluga. Backwards, genetically idiots. Nikianza kupost hapa mtasema sijui sio arusha au wapi, Arusha waliwatangulia kitambo. Mnajaribu kujishindanisha ili mpate haueni kisaikolojia ila nchi nzima ukisema unatoka mwanza nobody cares wanakuona mshamba wa kawaida ata 5G tu hakuna.
Uwa siwaelewi mnavo sema Arusha inamagorofa mengi wakati CBD ya Arusha ukipiga picha moja unaona tugorofa twote hayo mengi yapo wapi? Lakin CBD ya mwanza inahitaji upige picha zaidi ya uwone majengo yote. Mwanza inamagorofa mwengi than Arusha
 
Mwanza city Market
1676824633405.jpeg
 
Hizo gorofa nyingi za Arusha zipo wapi leta picha
Za kule Morieti pengine.Hawa vijana wakishatafuna miraa wanakuja kucomment hapa kana kwamba wapo Manhattan kumbe wapo wanagaragara kwenye vumbi lile jepesi la Arachuga[emoji1787][emoji1787]
 
Mimi ni mtu mtima sina muda wa hizo tabia za kitoto vya primary..
Huwezi kuta mtu na akili anashindanisha picha
[emoji1][emoji1][emoji1] wewe ni mtu mzima usie na akili wa hela

Waliogubdua camera walikua wapuuzi eeeh
 
Mimi ni mtu mtima sina muda wa hizo tabia za kitoto vya primary..
Huwezi kuta mtu na akili anashindanisha picha
Futa akaunti jf, na acha kubishana na sisi basi kama hicho ndo kigezo. Hata hujalazimishwa mbona.
 
Mmevimba kichwa😁😁,Mwanza kijijini tu hakuna cha kushangaza,pamepoa,Raia washamba aaa.hakuna mishemishe

Mshukuruni Magufuli kawasaidia kidogo,kawajengea rock city mall mmepata pa kupigia picha 😁😁😁,wawekezaji wenyewe wanajuta kuchukua frames hapo,wateja hakuna
Wewe mjanja kabebe mabegi ya wazungu
 
Back
Top Bottom