Mtaishia kula mirungi na mibangi tuToeni Rais kama kweli nyie wajanja
Tulitaka daraja la kuunganisha mlima meru na mlima kilimanjaro pamoja na mv Arusha kwenye ziwa duluti.Kwahyo unataka daraja lijengwe Arusha kwenda wapi?THINK B4 YOU WRIGHT
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unataka hii battle iendeshwe vipi kwa maneno tu kutoka kwenye midomo ya wala ugoro, picha ndio kila kitu kina rahisisha battle kuliko maneno kutoka kwa wala mirungi, weka picha acha ujinga bwwge wewe.Sina muda huo mimi kazitafute huko
Taja hotel ata moja ya mchaga niondoke humu tena ita moderator anipige ban, usiniletee vilabu vya mbege vya wachaga.Bila rock city mall kuna nini tena?au ni zile hotel zilizojengwa na wachaga?
Hana anachokifahamu, litakuwa lilikuwa Lina weka vitu kichwani lichangamkeTaja hotel ata moja ya mchaga niondoke humu tena ita moderator anipige ban, usiniletee vilabu vya mbege vya wachaga.
Nakuona una chuki na wivu tu hauna kingine, unatamani Mwanza iangamizwe na mabomu kutoka urusi na haitotokea wacha tuwakereeeee.Wamshukuru sana jiwe hawa,aliwapa upendeleo flani π€£
Wewe ni mjinga wa mwisho hilo jengo ni pssf et ni ya mchaga, kisa kuna manager mchaga hapo au unataka nilutajie mmiliki halali wa goldcrest.Gold crest hotel ya mchaga hio π€£π€£,mtu anatoka kaskazini anaenda kuwajengea hotel,wenyeji wanavua dagaa tu π
Hilo ni jinga la Mwisho kabisaa, jengo hilo ni la pssf wanasema ni jengo la mchaga kuna mchaga gani ana miliki hotel za maana hapo Mwanza, huku huwa wanamiliki vilabu vya mbege maduga ya kuuza unga na mafuta ya kupima.Si angejeka Arusha palipochangamka, halafu acha ujinga wako hapa, Hilo jengo unalijua au unaropoka tu
Mkuu hiyo tu ilitosha kuniaminisha kuwa nilikuwa nashindana na bangi.Hilo ni jinga la Mwisho kabisaa, jengo hilo ni la pssf wanasema ni jengo la mchaga kuna mchaga gani ana miliki hotel za maana hapo Mwanza, huku huwa wanamiliki vilabu vya mbege maduga ya kuuza unga na mafuta ya kupima.
Mwanza si Arusha hatutegemehi hisani ya serikali kama nyie robo tatu ya majengo ya arusha ni mali ya NHC.Imekula kwenu hio,fanyeni kazi,msikalishe matako mnasubiri serikali ije iwajengee miji yenu
Matusi ni mwanzo ya kuhishiwa hoja na upungufu wa akili, leta facts leta prove leta evidence tuamn nyinyi ni geneva ya africa.Nyonyoma wewe,ya mama yako ulipotokea π
Takwimu zikiwakatqa ndio zinakua za mchongo?acheni ujingaWalidanganywa na takwimu za sensa zile za michongo ili kuwa furahisha, sensa Mwanza iliongoza kwa majengo, elimu, afya na huduma zote za kijamii na kwa population sijui wao wameizidi Mwanza kwenye nini?
Bwege ni wewe mshamba unapiga picha magorofa mjini kuna miji ukienda unapiga picha ovyo ovyo unatwangwa risasi...Kwa hiyo unataka hii battle iendeshwe vipi kwa maneno tu kutoka kwenye midomo ya wala ugoro, picha ndio kila kitu kina rahisisha battle kuliko maneno kutoka kwa wala mirungi, weka picha acha ujinga bwwge wewe.
Huna adabu kabisa kwanini unatoa matusi hayo utazani hulitolewa jalalani, sisi sote ni watanzania kuna siku mtoto wako au mjukuu wako atakuja kuishi Mwanza, hizi battle hazijaanzishwa na watu wa Mwanza kwanini tufikie huko, kama umeshindwa kuzuia chuki na hasira zako kaa pembeni.Imefanana na ya mama yako kwa ndani mbona
Maana ya battle ni nini tukae yushindane maneno tukileta picha tunaitwa washamba sasa hii battle tuindeshe kwa style gani?Jinga hili,unanuka dagaa wewe.fungus za dagaa nini π€£π€£π€£
Mnapost post mijengo ya wanaume tu ππ