Maana ya battle ni nini tukae yushindane maneno tukileta picha tunaitwa washamba sasa hii battle tuiendeshe kwa style gani?Jinga hili,unanuka dagaa wewe.fungus za dagaa nini π€£π€£π€£
Mnapost post mijengo ya wanaume tu ππ
Hakuna takwimu iliyotukataa ata Dar inakaa kwa majengo kwa Mwanza, haya ukija kwenye postkodi ukija kwenye elimu, afya huduma za kijamii, idadi ya watu kila kitu hamjagusa sasa nambie wewe, arusha imeizidi nini Mwanza?Takwimu zikiwakatqa ndio zinakua za mchongo?acheni ujinga
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Unakalia kutukana tu leta prove kuwa arusha ni geneva ya arusha ya dampo la Afrika? Unataka tusikilize maneno na sio picha.Pumbavu sana
Nimemilikia smartphone ukiwa bado hujaanza kutongozwa.Bwege ni wewe mshamba unapiga picha magorofa mjini kuna miji ukienda unapiga picha ovyo ovyo unatwangwa risasi...
Smartphone umepata juzi unaleta kisirani mjini
Unataka hii bado tuiendeshe vipi?Bwege ni wewe mshamba unapiga picha magorofa mjini kuna miji ukienda unapiga picha ovyo ovyo unatwangwa risasi...
Smartphone umepata juzi unaleta kisirani mjini
Picha za miji ya ulaya, asia adi america imejaa tele nao tuseme ni washamba? Wengine hawajawahi kufika arusha wataijua vipi bila picha? Acha porojo na nyenye nyenye zisizo na msingi leta picha kutoka hilo pori lenu.Bwege ni wewe mshamba unapiga picha magorofa mjini kuna miji ukienda unapiga picha ovyo ovyo unatwangwa risasi...
Smartphone umepata juzi unaleta kisirani mjini
Nyoko zako picha za USA zisingekuwa google. Acha akili ya kushindwa ikutafune ubongo Mzee wetu.Bwege ni wewe mshamba unapiga picha magorofa mjini kuna miji ukienda unapiga picha ovyo ovyo unatwangwa risasi...
Smartphone umepata juzi unaleta kisirani mjini
Mshukuruni mskukuma wenu mkabila mlikuwa mnavuka na mitumbwi hapo π€£ π€£
Wanajitahidi kuruka ruka lakini wapiPicha za miji ya ulaya, asia adi america imejaa tele nao tuseme ni washamba? Wengine hawajawahi kufika arusha wataijua vipi bila picha? Acha porojo na nyenye nyenye zisizo na msingi leta picha kutoka hilo pori lenu.
We pwagu kweliMshukuruni mskukuma wenu mkabila mlikuwa mnavuka na mitumbwi hapo π€£ π€£
Jichanganye, naongea zote.Unaongea ki Arusha au lugha ya Malkia,hebu tuanzie hapo kwanza(
Tunaangaika na kijiji tu hapa napoteza muda wang hapa, me nataka battle na Mombasa, kigali na kidogo kampala.Wanajitahidi kuruka ruka lakini wapi
Washamba utawajua tu,π€£π€£ eti rete mapicha hapa (kwa lafudhi ya kiskuma) hakuna mshamba huku wa kushangaa maghorofa jomba. Watu washazoea nyie mabugando bado yanawazuzua kila kukicha picha tu, nenda google utakuta kibaoMara ohoo data za nbs zinasema Mwanza kuna maghorofa 9 tu na arusha ina maghorofa 20,000 haya yumekubali lakini tunataka tuyaone hayo maghorofa yapo wapi na hayo makazi ya arusha yapoje, hii ndio dhim ya hii battle mlioianzisha.
Endeleeni na data zenu kutoka nbs siku wakija data za kusema arusha inaongoza kwa watu wenye vichaa msije mkakataa.
Kwahio aliyepiga hii picha ya soko kuu la arusha ilipaswa apigwe risasi[emoji1]Bwege ni wewe mshamba unapiga picha magorofa mjini kuna miji ukienda unapiga picha ovyo ovyo unatwangwa risasi...
Smartphone umepata juzi unaleta kisirani mjini
Kitu gani hapo kimejengwa na mmasai au mchaga, kila jengo kubwa hapo arusha ni mali ya NHC, NSSF, na mashirika ya serikali pamoja na EACO, mji pekee ulijijenga wenyewe ni Mwanza peke yake.Ni aibu sana vibwengo wa mwanza eti wanaringishia infrastructure za serikali? π€£ π€£ Arusha wenzenu wapambanaji, shauri yenu, mtabaki kuonewa mjini. SI unit ya ushamba.
Acha na wendawazimu hawa, nawauliza hii battle tuiendeshe kwa style gani sijajibiwa adi sasa.Kwahio aliyepiga hii picha ya soko kuu la arusha ilipaswa apigwe risasi[emoji1]View attachment 2523547