Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alifikiria sana hapa,kansa inaua sana kando ya ziwaCancer center [emoji91][emoji91][emoji91] devastating blow to haters View attachment 2356024View attachment 2356025View attachment 2356026
Arusha haifiki Kwa mwanza angaliaHapo ndio Mwanza imeisha [emoji51][emoji51]
Ni matusi kuifananisha Arusha na Vijijini vya wavuvi,Jiji linafanania hivi [emoji116]
Kuna jipya gani hapo? Mwanza ndio imeishia hapo Wala hakuna maajabu..Arusha haifiki Kwa mwanza angaliaView attachment 2356988
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Unatusumbua tupo kwenye Arusi ya Jah People tunakula wali hukuKuna jipya gani hapo? Mwanza ndio imeishia hapo Wala hakuna maajabu..
Beauty of Arusha City👇Unatusumbua tupo kwenye Arusi ya Jah People tunakula wali huku
Huwezi pata skyline kama hii huko Mwanza..Arusha haifiki Kwa mwanza angaliaView attachment 2356988
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kajengo kabaya Bora hata ile Wodi ya wanawake Sekou Toure HospitalCancer center [emoji91][emoji91][emoji91] devastating blow to haters View attachment 2356024View attachment 2356025View attachment 2356026
Kwenye sekta ya maji mngekaa pembeni kwanza[emoji116][emoji116][emoji116]Arusha wanafurahia huduma za Jamii ,Mwanza wanashangilia stand [emoji1787][emoji1787]..
Arusha [emoji116]
Wewe kima,mradi wa Arusha ni zaidi ya Bil.200 sio hivyo vijisenti..Kwenye sekta ya maji mngekaa pembeni kwanza[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2358960View attachment 2358961View attachment 2358962
Hizo ofisi ...pelekea udom ziwe lecture theater ..ofisi za maana Ni hizi[emoji116][emoji116][emoji116]Ofisi za AUWASA [emoji116]
Tulia dawa iingie ...mwanza tayari tumeshakuwa na miradi mikubwa ya mabilion hyo ni nyongezaWewe kima,mradi wa Arusha ni zaidi ya Bil.200 sio hivyo vijisenti..
Dawa inakuingia mwenyewe 👇Tulia dawa iingie ...mwanza tayari tumeshakuwa na miradi mikubwa ya mabilion hyo ni nyongeza
[emoji116]
Ujenzi mkubwa wa tank la maji .wilaya ya ilemela.. buswelu View attachment 2358974View attachment 2358975
Kwenye suala la maji mkae pembeni..sa hv tunadeal na outskirts tu .mjini tayariDawa inakuingia mwenyewe [emoji116]
Mradi wa butimba utahusika na maeneo mapya ya pembezoni mwa jiji. ......yaani by 2023 hamna shida ya maji mwanza [emoji116][emoji116][emoji116]Dawa inakuingia mwenyewe [emoji116]
Hili jengo huwezi fananisha na Mwauwasa utakua mgonjwa wa akiliOfisi za AUWASA 👇