Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ulete hizo ghorofa na picha ya mji tuone
Huyu sunk .ambaye hata hajawahi kufika mwanza ...... kiufupi kuilinganisha mwanza na arusha ni kupoteza muda ...Wanapenda projects mpya nimeanza na hiyo hapo ya ujenzi wa maritime security coordination center. Wakitaka niendelee waseme maana kila siku fala sunk anatuletea projects za godown
Nenda instagram acha ushamba nyoko mwenyewe mchimba chumvi wa Mwanza. Chaushamba wewe.Leta picha we nyoko
Nafaham sana historia yake, ndio maana nasema mtu wa tanga au Arusha yupo juu zaidi ya mkulima wa mwanza. Ndio maana washamba wa maghorofa mpo mmekalia lete pichaa. Yapo mengi sana sina ushamba wa kupigapiga picha wewe.We fala hujui historia bhna acha kutaka sababu ya kufundishwa historia ya mikoa yako. Hujui hata bandari kongwe ilikuwa mkoa Gani, zao la mkonge lilimwa wapi na nani, mkoa uliokuwa na viwanda vingi kuliko mkoa mwingine enzi hizo. Ila ukadumaa kwa sababu ya umwinyi wa residents wake. Hivi umevuta leo kweli?
Sa facts zako zinakuwa supported na uwendawazinu wako nani akae kukusikiliza wewe na ujinga wako. Huna Cha maana kabisa na nilijua tu tukiwa serious upumbavu huu utajianika.Nafaham
Nafaham sana historia yake, ndio maana nasema mtu wa tanga au Arusha yupo juu zaidi ya mkulima wa mwanza. Ndio maana washamba wa maghorofa mpo mmekalia lete pichaa. Yapo mengi sana sina ushamba wa kupigapiga picha wewe.
Kirumba, kitangiri, nayamanoro na pansiasi zitaosha kabisa. Huku kwingine ni kupotezeana mda tu.Huyu sunk .ambaye hata hajawahi kufika mwanza ...... kiufupi kuilinganisha mwanza na arusha ni kupoteza muda ...
Let's tuipe wilaya ya nyamagana itafaa sana kuichallenge Arusha
We mpiga debe, na mtumia mibangi. Touch zimeshuka bei ukajiokotea Infinix kutwa kutusumbua. Mimi na wewe ni watu wawili tofauti kabisa acha ufala. Hata robo huingii kivyovyote chagua kitu personal tubishane uone nitakavyokunyoroshaNenda instagram acha ushamba nyoko mwenyewe mchimba chumvi wa Mwanza. Chaushamba wewe.
Mimi niko Arusha miaka yote maeneo mengine nafanya kutembelea ila kusema ukweli Arusha Bado kuifananisha na mwanza
Tatizo la Mwanza ni Giza sana na barabara hakuna
[emoji12][emoji12][emoji16][emoji16][emoji16]Kirumba, kitangiri, nayamanoro na pansiasi zitaosha kabisa. Huku kwingine ni kupotezeana mda tu.
Nyie mnapotuletea hadi godown, parot hotel, mount Meru, kibo palace hotel n.k huwa akili zenu zinakuwa zimechangamshwa na bangi au?. Tumeamua kuwajibu kwa takwa lenu la picha falla sunk na wewe pagwu pitia page za nyuma muone tulivyowavumilia. Twendeni kwenye userious muone kama hamjachochoa nyupi zenuNafaham
Nafaham sana historia yake, ndio maana nasema mtu wa tanga au Arusha yupo juu zaidi ya mkulima wa mwanza. Ndio maana washamba wa maghorofa mpo mmekalia lete pichaa. Yapo mengi sana sina ushamba wa kupigapiga picha wewe.
Nimequote data hujaziona? Uto tupicha nikiweka hapa hamna pakwenda, tughorofa twa juzi tunawazuzua wa mwanza, 🤣kwanza tubayaa.Nyie mnapotuletea hadi godown, parot hotel, mount Meru, kibo palace hotel n.k huwa akili zenu zinakuwa zimechangamshwa na bangi au?. Tumeamua kuwajibu kwa takwa lenu la picha falla sunk na wewe pagwu pitia page za nyuma muone tulivyowavumilia. Twendeni kwenye userious muone kama hamjachochoa nyupi zenu
OK OK ngoja tuwasikilize wazee wa Mwanza...Hii Arusha hua ni kuikuza kuza hakuna lolote...mimi ninafanya kazi hapa Arusha mwaka wa tisa sasa na nyumbani kwangu ni Mwanza,maelezo mengi wala hayasaidii nitajichosha bure, Arusha mnaikuza bure tu haina la kutisha sana,kila kukicha mnaongelea watalii ambao wakishuka wanapotelea huko Karatu,Ngorongoro na Serengeti,Arusha ni mikwara tu mzee ni ya kawaida na inaziwa kwa 80% na Mwanza
Nimecheka sana hapa mtu humjui unaandika hivi ipo siku utaumbuka mkuu,watu wamefunika mashuka humu...We mpiga debe, na mtumia mibangi. Touch zimeshuka bei ukajiokotea Infinix kutwa kutusumbua. Mimi na wewe ni watu wawili tofauti kabisa acha ufala. Hata robo huingii kivyovyote chagua kitu personal tubishane uone nitakavyokunyorosha
Unabwabwaja tuNimequote data hujaziona? Uto tupicha nikiweka hapa hamna pakwenda, tughorofa twa juzi tunawazuzua wa mwanza, 🤣kwanza tubayaa.
Usiegemee upande mmoja pia kanitukana balance hoja zako.Nimecheka sana hapa mtu humjui unaandika hivi ipo siku utaumbuka mkuu,watu wamefunika mashuka humu...
Ukiona mtu anatukana si unamsukuma tuu mkuu...Usiegemee upande mmoja pia kanitukana balance hoja zako.
Unaelekea kuharibu saikolojia yangu iko extra miles kwenye kufikiria. Usifike huko pleaseUkiona mtu anatukana si unamsukuma tuu mkuu...
kwanini nyinyi washamba wa arusha huwa mnajiona wajanja wakati ushamba upo damuni mwenu au kwasababu ya minguo mnayovaa au ni mibange au ni meno au ni ushoga uliokithiri huko ujanja kwenu ni nini? turudi kwenye mada wenzenu wa Mwanza wanaleta mapicha kibao ya mji wao japo wana gorofa tisa tu kama mnavyosema na nyie leteni magorofa yenu 20000 ili tuwa prove wrong hao watu wa Mwanza.... punguzeni midomo bila picha ni uzwazwa tu.Nenda instagram acha ushamba nyoko mwenyewe mchimba chumvi wa Mwanza. Chaushamba wewe.