ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mandhari Moja matata sana kama.uko Zurich vile plus dual carriage Road with six lanesView attachment 2521196
Wewe unaona nini hapa Mr. Falla.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mandhari Moja matata sana kama.uko Zurich vile plus dual carriage Road with six lanesView attachment 2521196
Wewe unaona nini hapa Mr. Falla.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji13][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] my foot ,ndo Kali ya Mwanza hiyo ?Hyo ndio dual carriage yebu mnayolingia humu Kila siku [emoji28][emoji28][emoji28]...
Sa si Bora hii [emoji116]View attachment 2520992
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii picha inaongea makubwa kuhusu MwanzaMwanza huwezi Kuta majengo marefu na mazuri kama haya.
Majiji ni Dar,Arusha na Dodoma tuu
Jifunze namna ya kupost,,,... mpangilio wa picha ni mbovu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji13][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] my foot ,ndo Kali ya Mwanza hiyo ?
Acha kudhalilisha maana ya dual carriage road ,huo ni upuuzi.
Ona hii ya Arusha,six lanes with grade seperation [emoji116]
View attachment 2521252View attachment 2521254View attachment 2521255
View attachment 2521261View attachment 2521260View attachment 2521258View attachment 2521259
Kaifananishe na dodoma..zinafanana sanaCompare and contrast
ArushaView attachment 2521314
Hilo jengo la arusha ulilopost lililojengwa katikati ya uswazi nalo ni jengo la msaada wa nchi gani?Kila siku ni kuzungusha hapo hapo tuu na kajengo ka Msaada [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnatia aibu na huruma,hivi Huwa mnapata wapi jeuri ya kujilinganisha na Arusha?
Chuga [emoji91][emoji91]
View attachment 2521263View attachment 2521264View attachment 2521265View attachment 2521266
Ili ni msaada wa AFD, ila arusha bado mnasafari kubwa sana, nimeamini Mwanza ni dude kubwa sana hapa Africa.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji13][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] my foot ,ndo Kali ya Mwanza hiyo ?
Acha kudhalilisha maana ya dual carriage road ,huo ni upuuzi.
Ona hii ya Arusha,six lanes with grade seperation [emoji116]
View attachment 2521252View attachment 2521254View attachment 2521255
View attachment 2521261View attachment 2521260View attachment 2521258View attachment 2521259
Hii ndio cbd ya arusha😝😝😝😝 Angalia nje ya CBD kirumba Mwanza👇👇👇Compare and contrast
ArushaView attachment 2521314
Muwe mnaona aibu jamani Sasa hapo Kuna nini Cha ajabu umeona?Hii ndio cbd ya arusha[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] Angalia nje ya CBD kirumba Mwanza[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2521381
Mwanza ni Kijijini kamwe haitakuja kusogea Kwa ArushaNakuja na picha za New cbd maeneo ya ghana huko ni kama morocco ya Dar au upanga hili jiji la Mwanza ni kiboko ya tumji kama arusha, dodoma na mbeya in combined.
Arusha Ina safari ya kulingana na Nairobi au Dar ,hizo takataka zingine mnaita Mwanza sio level zake..Ili ni msaada wa AFD, ila arusha bado mnasafari kubwa sana, nimeamini Mwanza ni dude kubwa sana hapa Africa.
Sijui wewe utuambie Nchi iliyotoa huo Msaada.Hilo jengo la arusha ulilopost lililojengwa katikati ya uswazi nalo ni jengo la msaada wa nchi gani?
Kaifananishe na dodoma..zinafanana sana
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukisikia aiii ujue imefika hiyo.
]Dodoma ni second only to Dar,huwezi fananisha na gulio la washamba wa Mwanza Wala waruwaru wa Arusha.
Huku kuna mradi wa bilion 54 resque centre EACO.Sijui wewe utuambie Nchi iliyotoa huo Msaada.
Pili Kwa nini halikujengwa Kwa wavuvi huko Mwanza ? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sizitaki mbichi hizi [emoji2957][emoji2957]
Mimi sina maneno ya kijinga kama yako naongea kwa vitendo, kula vitu laini zaidi ya maini, Angalia hapa👇👇Arusha Ina safari ya kulingana na Nairobi au Dar ,hizo takataka zingine mnaita Mwanza sio level zake..
Huo msaaada Kwa nini haukupelekwa Kwa wavuvi huko Mwanza?
Aka kamji kakashindane na Iringa au mbeya, sisi huwa atushindani na miji ukitoka kilometa moja nje ya vbd unakutana na mapori na vichuguu na viduku vya tope vya uswazi.Muwe mnaona aibu jamani Sasa hapo Kuna nini Cha ajabu umeona?
Fananisha na hapa Arusha [emoji116]View attachment 2521465View attachment 2521466
Umepewa kirumba imekutoa kamasi, ngoja tukupe neraMuwe mnaona aibu jamani Sasa hapo Kuna nini Cha ajabu umeona?
Fananisha na hapa Arusha [emoji116]View attachment 2521465View attachment 2521466