Na mito kama yoteAka kamji kakashindane na Iringa au mbeya, sisi huwa atushindani na miji ukitoka kilometa moja nje ya vbd unakutana na mapori na vichuguu na viduku vya tope vya uswazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mito kama yoteAka kamji kakashindane na Iringa au mbeya, sisi huwa atushindani na miji ukitoka kilometa moja nje ya vbd unakutana na mapori na vichuguu na viduku vya tope vya uswazi.
Arusha, Zanzibar, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Morogoro, Singida, Kahama na Tabora mbona pamekaa fresh tuTanzania kuna majiji mawili tu Dar na Mwanza.....labda tuisubiri Dodoma ikikamilika....kwingine uchafu tu
Kamasi ziko wapi?Umepewa kirumba imekutoa kamasi, ngoja tukupe nera
Kajengo kale kale masikini [emoji28][emoji16][emoji16]Kamasi ziko wapi?
18 floors ni Arusha tuu baada ya Dar,huko ushahoni mkashindane na Bujumbura View attachment 2521534View attachment 2521536View attachment 2521535View attachment 2521537
Mwanza hakuna jengo la kuzidi hilo kama lipo liweke hapa
Structure design ya Hilo jengo ni mbaya ...na halitakuja kuvutia kuzidi hili [emoji116]Mwanza hakuna jengo la kuzidi hilo kama lipo liweke hapa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Usijikite kwenye kubishabisha tu kila kitu utakua Huna tofauti na mtu mjingaStructure design ya Hilo jengo ni mbaya ...na halitakuja kuvutia kuzidi hili [emoji116]View attachment 2521561
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimebisha nini sasa ,,,kukuambia arusha hamna jengo Zur zaidi ya hili ni kosa[emoji83].Usijikite kwenye kubishabisha tu kila kitu utakua Huna tofauti na mtu mjinga
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16] tukianza kuleta picha usikimbie kijanaKamasi ziko wapi?
18 floors ni Arusha tuu baada ya Dar,huko ushahoni mkashindane na Bujumbura View attachment 2521534View attachment 2521536View attachment 2521535View attachment 2521537
Ni zuri ama ni kubwa?Nimebisha nini sasa ,,,kukuambia arusha hamna jengo Zur zaidi ya hili ni kosa[emoji83].
View attachment 2521580
Sent using Jamii Forums mobile app
Design...na ukubwa pia nimeangaliaNi zuri ama ni kubwa?
Hata hili ni zuri sasa sijui umetumia vigezo gani weweView attachment 2521646
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwakua liko mwanza?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]
La Arusha Zuri liko wapi .....Kwakua liko mwanza?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hili jengo ni zuri kuliko jengo lolote lile la ArushaStructure design ya Hilo jengo ni mbaya ...na halitakuja kuvutia kuzidi hili [emoji116]View attachment 2521561
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar itoe hapo, zilizobaki ni manispaa zilizochangamka.Arusha, Zanzibar, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Morogoro, Singida, Kahama na Tabora mbona pamekaa fresh tu
Punguza mahaba leta fact, hapo arusha hakuna jengo kubwa na zuri kuzidi hilo la Mwanza.
Hii sangara ni Kali kuliko huo mgomba wenu wa hapo frolida na sanawari [emoji116]
[emoji16][emoji16][emoji16] hiii kitu inawachoma kama bom la nukeHii sangara ni Kali kuliko huo mgomba wenu wa hapo frolida na sanawari [emoji116]View attachment 2521729
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza ni home kwa masonko[emoji16]Ni zuri ama ni kubwa?
Hata hili ni zuri sasa sijui umetumia vigezo gani weweView attachment 2521646
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app