Hawa watu ni malimbukeniDar wanaishi watu na sehemu nyingine wanaishi punda? Mbona mnakuwa wapumbavu wa mwisho Dar kuna nini adi kutaka vitu vyote vizuri viwe dar peke yake, au pengine hapastahili maendeleo? Nilikuwa nakuona unalogic lakini sasa nakuona wewe ni tahira na sitaangaika kujibizana na mtu mpumbavu kama wewe, unataka mikoa mingine isiwe inapata maendeleo bali ni dar tu ndo yastahili.