OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Wanataka mapicha ngoja tuwa tumie πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka mapicha ngoja tuwa tumie πππππ
Watauwawa. washamba wa mwanza, hivi kweli mtu anakuwa timamu kabisa anadhani mwanza ni zaidi ya arusha? π€£Watu wa Mwanza najua hii sio habari nzuri kwenu ila inabidi muipokee ..Leo nimejaribu kuchati Na AI ya ChatGTP na majibu yake yalikuwa ni haya[emoji1484]View attachment 2545935
Kwani we terminals unadhani mpaka liwe likitu kubwa la kwenda kupigia picha, kushangaa na kutoa ushamba?Hilo robot limekwambia arusha kuna bus terminals zitaje?
Check mlivyo washamba Sasa Arusha bandari itokee wapi wakati hatuna bahari au ziwa kubwa kama vickitoria,? Hiv ndio akili zenu za kisukuma zilivyoWew ni mwehu uganda, kenya ni unga LIMITED [emoji23][emoji23][emoji23].
Mlima gan mlionao hapo uswekeni republic?
Wew jamaa unapenda sana featuring umeulizwa swal jepes bandar mnayo? Usitwambie ya tanga na dar tunatak ya hapo kwenu meno machafu city.
Paqwa akiwa anasmile [emoji116]View attachment 2539087
Acha kuleta vipicha vya kuokoteleza picha moja moja ndio nini
Ujenzi holela.. Ila kubaya mwanza, rock city mall ndio wanaonaga kimbilio lao.Hauna kifua cha kubattle na Mwanza nyakato hioView attachment 2545966
Sijawai kukataa. Mwanza kitu pekee inaizidi Arusha ni wingi wa mazuzu. Kweli yanazaa hayo mashamba. Ila vingine vyote wanazidiwa na Arusha tena mbali sana.Naomba tumalize hilibsuala la Nani ni wa Kwanza na nani wa pili tuhamie katika kushindanisha kipi kipo Mwanza Hakipo Arusha na Kipi kipo Arusha hakipo Mwanza kipi bora kipo Arusha na kipi bora kipo Mwanza. Atakae pinga hizi data zangu aje na za Kwake n.b sitaki Matusi wa attacks View attachment 2539276View attachment 2539277View attachment 2539278View attachment 2539279View attachment 2539282View attachment 2539283View attachment 2539284View attachment 2539285
Kwo Nyakato huko ndo kwa kishua Ujue mim nawapostia sehemu kama MOSHONO,Sinoni ,sombetini ...sijataka niwapostie Burka Estate ,Gomba Estate ,USA river ,Uzunguni n.kWe malaya usiniquote mimi sijakuuliza wewe punguza mazoea sijawahi tembea na bibi ako
Hapa nabattle na vijana wa arusha wenye akili timamu sio wewe bwege wa bao moja
Yani Kweli mwanza ndogo sana ..kwa Arusha uwezi kumaliza siku moja kutembelea sehem zote ..mim nakuzaliwa kwang Arusha Kuna Sehemu sijawah fika sasa kama mwanza unaweza pata muda wa kuzunguka sehemu hizo inaonesha jinsi gani mji wenu ulivo mdogo sanaaaaaaaArusha lazima mkimbie huu uzi hapa nipo na mpango nikakodi drone nataka niwaletee aerial view ya nyegezi majengo mapya,nyasaka, kaangae,kakebe,Bismarck,minazi mitatu,monarch, magomeni,kiseke,buswelu,shamaliwa na nyamhongolo bila kusahau ibanda
Sitaki picha ya nyumba moja moja nataka aerial view ili mnyooke vizuri tuombe uzima
Dah unatia huruma mkuu, yani mwanza yenyewe hata upewe wiki huimaliziYani Kweli mwanza ndogo sana ..kwa Arusha uwezi kumaliza siku moja kutembelea sehem zote ..mim nakuzaliwa kwang Arusha Kuna Sehemu sijawah fika sasa kama mwanza unaweza pata muda wa kuzunguka sehemu hizo inaonesha jinsi gani mji wenu ulivo mdogo sanaaaaaaa
Za nni ...uweke kwenye bwawa la duluti au ...,,,,sato hawaishj kwenye mabwawa ya mchongo [emoji28][emoji28]Mimi watu wa Mwanza nawaomba kitu kimoja ,Nahitaji mbegu za Samaki sato na Sangara ...msaada waku wenu Mikdade,Cha Asubuh n.k
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaleta estate tena... sisi tunakuletea posh neighborhoodKwo Nyakato huko ndo kwa kishua Ujue mim nawapostia sehemu kama MOSHONO,Sinoni ,sombetini ...sijataka niwapostie Burka Estate ,Gomba Estate ,USA river ,Uzunguni n.k
Kama umefikia huku bas Kuna mahala nati imechomokaYani Kweli mwanza ndogo sana ..kwa Arusha uwezi kumaliza siku moja kutembelea sehem zote ..mim nakuzaliwa kwang Arusha Kuna Sehemu sijawah fika sasa kama mwanza unaweza pata muda wa kuzunguka sehemu hizo inaonesha jinsi gani mji wenu ulivo mdogo sanaaaaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaujua umbali wa kutoka kanyama to buhongwa,kahama to luchelele,mihama to ilalila,buhongwa to igombe nkYani Kweli mwanza ndogo sana ..kwa Arusha uwezi kumaliza siku moja kutembelea sehem zote ..mim nakuzaliwa kwang Arusha Kuna Sehemu sijawah fika sasa kama mwanza unaweza pata muda wa kuzunguka sehemu hizo inaonesha jinsi gani mji wenu ulivo mdogo sanaaaaaaa
Unawatesa. Mwanza sio modern city. Ni a big village.Ni hiyo KIJENGE huku ni Uswekeni still jamani[emoji28]..mwanza bado Sanaa ...jiji gani hauna Hata Airbnb View attachment 2547303View attachment 2547304View attachment 2547306
Businnes mkuu kama unayo nambieZa nni ...uweke kwenye bwawa la duluti au ...,,,,sato hawaishj kwenye mabwawa ya mchongo [emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app