Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Namsubiri nikiwa navuta K- VANT hapa😁😁😁Hajakosea kujiita pwagu, muda huu litakuwa linvuta super glue halafu aje kutamba hapa kuwa yeye ni mjanja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namsubiri nikiwa navuta K- VANT hapa😁😁😁Hajakosea kujiita pwagu, muda huu litakuwa linvuta super glue halafu aje kutamba hapa kuwa yeye ni mjanja.
Huyo mama kila wakati neno lake kuu ni ushamba, hana hoja hana fact wala logic.
Mshono kama wako ulioupata wakati unajifungua.Hapo ndipo mshono ulipo, kwanini nihangaike na pengine? Washamba
Hamna, Arusha kuna hoteli nyingi zaidi na zina hadhi tofauti tofauti kutokana na aina ya wageni wanaofika....si kama Mwanza. Mwanza utasikia hoteli ya kitalii lakini ukiingia hutaona tofauti na hoteli zingine, zaidi ya kuwa bei ni ghali... lakini kwa Arusha ni tofauti. ARUSHA kuna hoteli zenye hadhi ya kidiplomasia za kimataifa kama vile Mount Meru Hotel ambayo hadhi yake ni kama Kilimanjaro/Kempinsky ya Dar es Salaam.Hizi grocery ndio unaita hotel na watu wanjombe si wataita hotel za nyota 5[emoji23][emoji23]
Weka humu hizo hotel tuzione ili tuje huko, maneno sio jadi yetu sisi wanaume, weka picha maneno kidogo.Hamna, Arusha kuna hoteli nyingi zaidi na zina hadhi tofauti tofauti kutokana na aina ya wageni wanaofika....si kama Mwanza. Mwanza utasikia hoteli ya kitalii lakini ukiingia hutaona tofauti na hoteli zingine, zaidi ya kuwa bei ni ghali... lakini kwa Arusha ni tofauti. ARUSHA kuna hoteli zenye hadhi ya kidiplomasia za kimataifa kama vile Mount Meru Hotel ambayo hadhi yake ni kama Kilimanjaro/Kempinsky ya Dar es Salaam.
Washamba wanapenda picha hawa, nani anamuda wa kupigapiga picha kila saa? Rudi kwenye page za nyuma huko. Shamba people from shamba city doing shamba things.Weka humu hizo hotel tuzione ili tuje huko, maneno sio jadi yetu sisi wanaume, weka picha maneno kidogo.
Sasa mjini watafanya nn? Maana hakuna kufuga ng'ombe mjini.Swali jingine hivi kwanin wasukuma hupenda kuwa omba omba na Beki 3
Kwa nini wamasai wanapenda kuwa walinzi kwenye nyumba, mabasi, maofisi na sehem tofauti tofautiSwali jingine hivi kwanin wasukuma hupenda kuwa omba omba na Beki 3
Kumbe hata wazungu ni washamba naona wameturithisha utamaduni wa picha kuliko maneno, nami nikisema mwanza kuna kiwanda cha magari si mtabisha, ila nikileta picha nadhani mtaamini haraka kuliko maneno.Washamba wanapenda picha hawa, nani anamuda wa kupigapiga picha kila saa? Rudi kwenye page za nyuma huko. Shamba people from shamba city doing shamba things.
Wakikujibu niite mbwa.Kwa nini wamasai wanapenda kuwa walinzi kwenye nyumba, mabasi, maofisi na sehem tofauti tofauti
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Kwanini watu wa arusha wanajenga nyumba za matope, na pia wote wanavuta bangi, na wakazi wote wa arusha meno yameoza kwanini??Swali jingine hivi kwanin wasukuma hupenda kuwa omba omba na Beki 3
Labda masai sio watu wa Arusha [emoji1]Wakikujibu niite mbwa.
Hao ndio the natives wa arusha.
Baba ntilie upo?Swali jingine hivi kwanin wasukuma hupenda kuwa omba omba na Beki 3
Wasikuchanganye mkuu Kuna vitu vinahitaji justification ya picha na siyo maneno maneno, hatuko kwenye kikao Cha kitchen part hapa.Kumbe hata wazungu ni washamba naona wameturithisha utamaduni wa picha kuliko maneno, nami nikisema mwanza kuna kiwanda cha magari si mtabisha, ila nikileta picha nadhani mtaamini haraka kuliko maneno.
Tumekuambia hotel za maana hapo ni mount Meru, Gran MELIA na kibo palace, Hawa akina parrot hotel ni WA kawaida sana usichanganywe na urefu wa jengo.Hamna, Arusha kuna hoteli nyingi zaidi na zina hadhi tofauti tofauti kutokana na aina ya wageni wanaofika....si kama Mwanza. Mwanza utasikia hoteli ya kitalii lakini ukiingia hutaona tofauti na hoteli zingine, zaidi ya kuwa bei ni ghali... lakini kwa Arusha ni tofauti. ARUSHA kuna hoteli zenye hadhi ya kidiplomasia za kimataifa kama vile Mount Meru Hotel ambayo hadhi yake ni kama Kilimanjaro/Kempinsky ya Dar es Salaam.
Wanavuta super glue siku hizi, ni Bora hata bangi super glue inawafanya kuwa mazoba completely.Kwanini watu wa arusha wanajenga nyumba za matope, na pia wote wanavuta bangi, na wakazi wote wa arusha meno yameoza kwanini??
Hawana tofaut na wakenya waongo na propaganda za kujikweza kwenye vitu ambavyo hawana uwezo navyo.Wasikuchanganye mkuu Kuna vitu vinahitaji justification ya picha na siyo maneno maneno, hatuko kwenye kikao Cha kitchen part hapa.