Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hawana tofaut na wakenya waongo na propaganda za kujikweza kwenye vitu ambavyo hawana uwezo navyo.
Waarusha ni chawa wa wakenya, wanajaribu kuiga na kucopy ujinga wa wawakenya halafu wanajiita wajanaja. Nilishawi sema Kuna tofauti kubwa mno kati ya mjanja na limbukeni.
 
Waarusha ni chawa wa wakenya, wanajaribu kuiga na kucopy ujinga wa wawakenya halafu wanajiita wajanaja. Nilishawi sema Kuna tofauti kubwa mno kati ya mjanja na limbukeni.
Hao ni malimbukeni, utasikia united states of Arusha, mara nchi ndani ya nchi, ukiangalia arusha yenyewe haina tofauti na kahama.
 
Mnajiongelesha, mkishapigwa ndo mnakuja na vipicha uchwara, vitu vya kawaida sana alafu. Ndio maana mnaonekana washamba, what's special there? 🤣
Hahaha wanaleta vipicha vya bar na restaurant halafu wanaita ni mahali pa kupumzika😂😂😂😂
Ushamba ni tatizo sugu
 
Hakuna je

Unataja vitu vya mtu mmoja aliekufa. Kwanza mwendazake alikuwa anavandalize matajiri wa kaskazini usitutie hasira bure.
Iv apa mwanza kwa jinsi navyopaona sidhani kama kuna msukuma anaeza miliki hotel Kama Impala, ngurudoto kwa pamoja imagine izo ni mali za mtu mmoja
 
Unapita sehemu watu wanabonga kisukuma tu mwanzo mwisho. Sasa huu ni mji au kijiji😂😂😂😂
 
Yani ukitoa mwanza mji uku kwingine wanaishi wapori pori watu hawajui ata kiswahili😂😂😂😂
 
Iv apa mwanza kwa jinsi navyopaona sidhani kama kuna msukuma anaeza miliki hotel Kama Impala, ngurudoto kwa pamoja imagine izo ni mali za mtu mmoja
Jana ulishindia mbege naona sasa umelala kwenye kamkeka huku ukiota ndoto upo Mwanza ukila bata, Mwanza sio ya watu wote we baki hapo hapo kwenye kimji chenu.
 
Jana ulishindia mbege naona sasa umelala kwenye kamkeka huku ukiota ndoto upo Mwanza ukila bata, Mwanza sio ya watu wote we baki hapo hapo kwenye kimji chenu.
Kuna mutu binafsi apa mwanza anaeza miliki mali za hizo?
 
Back
Top Bottom