Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Prof Apolinaria Pereka SUA, Prof Mbassa SUA, Prof Malago SUA, ..... jama jama ni wengi sana, sijataja UDSM wala muhimbili kule department ya PathologyUlitaka nikutajie ukurasa mzima au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof Apolinaria Pereka SUA, Prof Mbassa SUA, Prof Malago SUA, ..... jama jama ni wengi sana, sijataja UDSM wala muhimbili kule department ya PathologyUlitaka nikutajie ukurasa mzima au
Prof Mabula Bugando.Professor mabula mchembe
Professor mayaya (IRDP)
professor nkonoki (IRDP)
Sina muda huo mchafu ..kagoogle[emoji116]Ndio
Sina muda huo mchafu ..kagoogle[emoji116]
Kazi inaendelea daraja la taifa
..View attachment 2638453View attachment 2638454
Daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tuna stand [emoji1787][emoji1787]
Yule Makubi na Mahalu ni wa wapi...?!Kwani Mimi ndio nimetoa hiyo taarifa? Prof.gani msukuma unaemfahamu? Nitajie
Sisi tuna stand 🤣🤣
Bakora kutoka Arusha msiyoipenda watu wa Mwanza 🤣🤣Leta stendi ya mbeya tuone ilivyo
Unatafuta pa kujifariji 🤪😜
Majiji yote ya Tanzania nayajua sio wewe unayeokota picha huko, Mbeya hakuna kitu vumbi kila sehemu hadi kule Isyesye...Unatafuta pa kujifariji 🤪😜
Mwanza size yake ni Mbeya ,Kwa Arusha kaeni mbali kabisa View attachment 2638622View attachment 2638623View attachment 2638624View attachment 2638625View attachment 2638627View attachment 2638628
Sasa huu uswazi ndio unataka ulinganishe na Dom?View attachment 2638640View attachment 2638642View attachment 2638647View attachment 2638655View attachment 2638661
Niliacha kukomenti chochote hapa ila nafsi inaniambia hapana.
Usichokijua mwanza haikui kwa upepo wa siasa. Uwe unaelewa Hilo.laizerg
Ukiona Mwanza imetajwa hapa uni tag 😁😁
Hamad Masauni: Kamera zenye Mfumo wa utambuzi wa Sura kufungwa Dar es Salaam, Arusha na Dodoma
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023. Ufungaji wa kamera za Ulinzi Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi limekamilisha mradi wa ujenzi wa mji salama utakaotumia kamera zenye mfumo wa...www.jamiiforums.com
😆😆😆😁😁😁😆😆😆😭😭😭😭😂😂😂Usichokijua mwanza haikui kwa upepo wa siasa. Uwe unaelewa Hilo.
Umetekenywa??😆😆😆😁😁😁😆😆😆😭😭😭😭😂😂😂