Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Mwanza ipi? Ile Ile niliyoiona au Kuna Mwanza nyingine tofauti? Labda vijumba vya kawaida mtakuwa navgo vingi maana mko wengi pia ila kwenye magorofa hakuna kitu hapo Mwanza,Kasi yake ni sawa tuu na Mbeya 😁😁
Tena nakuomba ukome kabisa kulinganisha Mwanza na Mbeya! Wewe mwenyewe unajua kabisa Mwanza iko mbali sana kwa kila nyanja! Mbeya hata Iringa tu inawatoa jasho!
 
Tena nakuomba ukome kabisa kulinganisha Mwanza na Mbeya! Wewe mwenyewe unajua kabisa Mwanza iko mbali sana kwa kila nyanja! Mbeya hata Iringa tu inawatoa jasho!
Mwanza na Mbeya hawachekani mnachoizidi Mbeya ni hako ka CBD tuu nothing else ila Mbeya inaanzia Airport ya Songwe mpaka Igawilo ni nouma sana .
 
Kwa private sekta katika ujenzi wa magorofa naomba uwe mpole tu! Mwanza iko juu! Ulishawahi kujiuliza pamoja na Arusha kuwa na taasisi kibao za kimataifa kufanya kazi pale lakini bado Mwanza ni kubwa na maendeleo yake yako juu kwa kasi kubwa! Naiona Mwanza ikiwa juu sana maana sasa hivi kuna project ya Reli SGR ambayo Arusha haitegemei kuipata miaka hata 50 ijayo!
Kwamba Arusha hamna maghorofa ya private sector Wala watu binafsi?! Hivi ukiachana na Dar Kuna mkoa gani mwingine wenye private sector nyingi zaidi ya Arusha
 
Statics za ujenzi wa maghorofa kama huzijui jikalie tu kimya utaonekana mstaarabu kuliko kushupaza shingo kwa vitu usivyovijua.
 
@sambalungu tunapongelea maghorofa tunamanisha haya ....Kuanzia tarehe 1 /07 nitakodisha basi la kutoka AR to MWZ kwajili ya kuwapandisha wasukuma watao penda kuja kupiga picha kwenye Jengo hili
20230609_124842.jpg
 
Yaweke humu, labda yapo longido lakini kwa hapo arusha mjini hakuna maajabu.
Kuna watu hawaijui mwanza halafu ni wabishi na ni wagumu wa kuelewa na vile vile vile Kuna wasio ijua Arusha humu ndani. Kwahiyo Kuna wanaobishana ilimradi anajibu komenti ya mwenzie. Basi acha liende hivyo hivyo.
 
Kuna watu hawaijui mwanza halafu ni wabishi na ni wagumu wa kuelewa na vile vile vile Kuna wasio ijua Arusha humu ndani. Kwahiyo Kuna wanaobishana ilimradi anajibu komenti ya mwenzie. Basi acha liende hivyo hivyo.
Kabisa umenena mkuu
 
Back
Top Bottom