Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)


Kipofu kaona mwezi 😂😂😂😂

First 5 Star Hotel in Mwanza(NSSF investment building) 👇👇
Screenshot_20240809-114400.jpg
Screenshot_20240809-114058.jpg
 
Habar ya skunying hiyo😀
Ila hapo jamaa wamelamba dume radisson hao jamaa ndio wanafanya kazi kubwa sana kuingarisha kituo cha mikutano kigali
Hawanaga shughul ndogo
Mwezi wa 7 mwaka huu ni siku nyingi? Acha wivu Watalii hawatakuia tena Arusha,maji mtaita mmaaa 😂😂
 
Mtakuwanapata wale wa Kilimanjaro,Manyara, Ngorongoro na zingine za jirani ila wa Serengeti mtawakosa.
Sema sasa kama hujuagi upande wa serengeti kutokea arusha ndio huwa favorite kwa watalii ndio upande wenye wanyama wengi kunakitu kinaitwa ngorongoro serengeti ecosystem istoshe ukipitia njia ya arusha unabenefit ya kupita tarangire manyara na ngorongoro yenyewe lakini tena kuna airport 🛫 ya lake manyara pale karatu only 50kms hadi serengeti main gate inaboreshwa na inafungwa taa ndege kutua usiku
Kwahiyo ndugu zangu wa mwanza walichelewa sana kupata International Airport wanakuja kupata kipindi dodoma iko on fire 🔥 kipindi uwanja wa arusha na kia umeboreshwa lakin mbaya zaid uwanja wa musoma uko kwenye ujenzi na pale ndio karibu zaidi mwanza walikua na bahati ya kuwa mji wa pili kwa ukubwa tangu miaka ya 70 wangeitumia vizuri hyo chance wangekua mbali sana leo miji ya juzi kama dodoma na arusha inawatimulia vumbi ni huruma kwa kwel
 
Sema sasa kama hujuagi upande wa serengeti kutokea arusha ndio huwa favorite kwa watalii ndio upande wenye wanyama wengi kunakitu kinaitwa ngorongoro serengeti ecosystem istoshe ukipitia njia ya arusha unabenefit ya kupita tarangire manyara na ngorongoro yenyewe lakini tena kuna airport 🛫 ya lake manyara pale karatu only 50kms hadi serengeti main gate inaboreshwa na inafungwa taa ndege kutua usiku
Kwahiyo ndugu zangu wa mwanza walichelewa sana kupata International Airport wanakuja kupata kipindi dodoma iko on fire 🔥 kipindi uwanja wa arusha na kia umeboreshwa lakin mbaya zaid uwanja wa musoma uko kwenye ujenzi na pale ndio karibu zaidi mwanza walikua na bahati ya kuwa mji wa pili kwa ukubwa tangu miaka ya 70 wangeitumia vizuri hyo chance wangekua mbali sana leo miji ya juzi kama dodoma na arusha inawatimulia vumbi ni huruma kwa kwel
Hizo Musoma hata Wakiboresha hawawezi kuwa na direct Flight ya kimataifa! Ndo maana mpaka leo kuna watalii wanatumia Mwanza Airport na kuingia Serengeti!
Radisson lazima wafanye Marketing ili wapate wageni kwenye hotel yao!
Japo Arusha zimetangulia kwenye Utalii ila uwepo wa wawekezaji kama huyu Radisson kunaifanya Mwanza ionekane sio Local Destination tu bali ni International Destination!
 
Hizo Musoma hata Wakiboresha hawawezi kuwa na direct Flight ya kimataifa! Ndo maana mpaka leo kuna watalii wanatumiq Mwanza Airport na kuingia Serengeti!
Radisson lazima wafanye Marketing ili wapate wageni kwenye hotel yao!
Japo Arusha zimetangulia kwenye Utalii ila uwepo wa wawekezaji kama huyu Radisson kunaifanya Mwanza ionekane sio Local destination tu bali ni International Destination!
👏
 
Hizo Musoma hata Wakiboresha hawawezi kuwa na direct Flight ya kimataifa! Ndo maana mpaka leo kuna watalii wanatumia Mwanza Airport na kuingia Serengeti!
Radisson lazima wafanye Marketing ili wapate wageni kwenye hotel yao!
Japo Arusha zimetangulia kwenye Utalii ila uwepo wa wawekezaji kama huyu Radisson kunaifanya Mwanza ionekane sio Local Destination tu bali ni International Destination!
Na hii pia Iko mbioni kujengwa Sasa sijajua kama Barabara yote itajengwa lami au ni ujenzi wa daraja pekee👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-XRdEmNzlQ/?igsh=NXZ3dDduYTh0azF2

View: https://www.instagram.com/p/C-XRkfNtQ3r/?igsh=MWptdzBkcmw1aHl3Ng==
 
Back
Top Bottom