Yaaan una akiliiii sana ...ila si utaendelea kuumwa mpkaa ndan ya siku 6
Nikipigwa na kibonge vita yoyote ile nakunywa sumu.Swadaktaa..tena Yale maneno yenye mkazo wa bold
Siku hizi kawa babako kumbe?!
Msalimie pia, mwambie bado nampenda kama zamani
Kula kidogo, chakula kipo hakitaisha.Hahahaha ebu mzee wa mtetemo niache kwanza
Hahaha hahaha hahaha hahahaKwan alikuwagan na hapo zaman??
Ah ah ah ah ah ah ah ah ah mzee analalamika sana juu yako kuwa haumtendei haki
Cc Mshana Jr
[emoji23][emoji23]Nikipigwa na kibonge vita yoyote ile nakunywa sumu.
Kibonge wa kike hata wa kiume.
WoooiiiiHahaha unajionea mashikolo tu
Unajifanyaaa janjaaaa...iko letaaa janjaaa ya nyaniii etiiiiiiNdani ya siku 6 kivipiii hakunaga hiyo
Basi nikiona mwanamke ana tumbo kama lile huwa nawaza ukubwa wa utumbo wake.Hajanifanyia unafki wowote ana haki ya kucheka hivi unafanya mchezo na tumbo la Rick Ross
Hajanifanyia unafki wowote ana haki ya kucheka hivi unafanya mchezo na tumbo la Rick Ross
Hahaha hahaha hahaha hahaha
Si mlikuwaga mnagombea mrembo Demiss jamanii...
Siku hizi nimeokoka! Uchawi wake umeshindwa! Upendo wangu ni wa Agape
Jamani kwani kucheka dhambi jirani?
Hata sijamfanyia unafki nimejikuta tu nacheka
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru umemuambia. Sisi ni ndugu kutulinganisha ni kutukoseaWote Tanga line... Ni blood sisters nashauri badilisha
Ewaaaaaaa. Atapata tabu sana.Pale unapogundua I'd zote ni za mtu mmoja
Woooiiii
Ulipokuwa unakula wali kilo 3 hukujiuliza utalipataje?Sasa mm tumbo la Rick Ross nalipataje jamani mbona una utani mbaya na watu
Tunakupenda pia wakwetu [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Wote wa-TA wenzangu
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Wote rafiki zangu
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Wote nawapenda
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Wote wananivutia
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Wote nawakubali sana.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Hahaha hahaha hahaha hahahaAh ah ah ah ah ah ah ah hii mpya aitheeee katika maskio yangu
Kwanza mzee akisikia hii mboko nkatazo chezea sio za nchi hiii
Demiss shemeji yangu bhana
Rudisha mapenz kwa mzee bhana
Unajifanyaaa janjaaaa...iko letaaa janjaaa ya nyaniii etiiiiii