Battle: Shunie Vs Mzigua90

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ujue utafanya aleft hapa mzee baba mwaka mpya unaanza kama nimemkosea niombe msamaha sitaki vinyongo

Ndg yangu Shadeeya naona uwepo wako kwa mbali ujue
Hahaha hahaha
Nimeona nikazie tuu hapo, labda mzee baba atasema shida iko wapi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ujue utafanya aleft hapa mzee baba mwaka mpya unaanza kama nimemkosea niombe msamaha sitaki vinyongo

Ndg yangu Shadeeya naona uwepo wako kwa mbali ujue
Hahaha hahaha
Hawezi kuleft... Akikusamehe na mie niombee msamaha!

Msalimie ndugu yako@Shadeeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…