Uko sahihi wengi watoto wa mipango zamani walikuwa wanatoka kino ,migo, ilala , manzese, k Koo ,ila wakitusua wengi wao waliamia sinzaKinondoni ndiyo ilikuwa roho ya dar
Mipango yote,kinondoni
Zamani mipango ya watu kutaka kusafiri lazima uje kinondoni uipate
Kinondoni ndiyo ilikuwa kwa mhustlers ,ikifuatiwa na ilala
Mabaharia wengi walitokea kino
Sasa sijajua nyie vijana,watoto wa sahv mnashindana kwa lipi
Maana ukiniuliza mm sahv vijana wengi sinza tbt nk nawaona samjo
Tu ushg mwingiii tu umetawala....
Ova
Panapo ishoa sinza na panapo ishia kinondoni mzeeMpaka gani huo wa Sinza na Kinondoni?
Atakuwa kamaanisha K'nyama..Unamaanisha mw/nyamala au k/nyama & uzuri?
πYa Kinondoni ndio iliyokuwa sehem ya kupangia mipango ya safari na watu wakaondoka.
Sinza ndio iliyokuwa sehem ya kufikia hao wanaotoka safari na kutumia pesa waliyokuja nayo yote.
Uko sahihi wengi watoto wa mipango zamani walikuwa wanatoka kino ,migo, ilala , manzese, k Koo ,ila wakitusua wengi wao waliamia sinza
Mwananyamala & KijitonyamaNachagua kuishi mpakani mwa sinza na kinondoni
mpaka ni Mwananyamala ( choka mbaya ) na K/Nyama ( washua )Nachagua kuishi mpakani mwa sinza na kinondoni