fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,255
- 3,889
Habari wanajamvi
Km kichwa cha habari kinavyojieleza kumekuwapo na wimbi kubwa hususani ktk nchi yetu ya Tz ya biashara ya vitu vilivyotumika almaarufu kwa kwa jina la vitu vya mtumba ama vitu used,kwa upande wa vitu original (nimetumia neno original kwa kua sijapata kiswahili chake sanifu} hivi ni vitu vipya kabisa kimuonekano na hakikuwahi kutumika mahala popote.
Ktk nchi yetu soko la vitu vya mtumba ni kubwa kiasi ambacho limeenea ktk sekta mbalimbali mfano ni kwenye mavazi hapa unakutana na nguo na viatu,ukiangalia kwenye masuala ya umeme huko napo pamejaa majokofu,viyoyozi,tv,pasi,rice cooker yani huku ndio pamejaa na sehem mbalimbali tu pamejaa hivi vitu vya mtumba.
Soko limekua kubwa kiasi kwamba vitu vya mtumba vinasifiwa kua ni bora kuliko vitu original mfano mdogo ukienda dukani ukanunua jinz yako ya 25000 na mwingine akaenda zake ilala au karume na akapata jinz km yako kwa 15000 bac ww wa dukani unaonekana ni mshamba na umepigwa.
Ishu ni kwamba je ni kweli vitu vya mtumba ni bora kuliko original au ni upungufu wa kipato ndio unàotufanya tuamini kua vitu vya mtumba ni bora kuliko vitu original.
Km kichwa cha habari kinavyojieleza kumekuwapo na wimbi kubwa hususani ktk nchi yetu ya Tz ya biashara ya vitu vilivyotumika almaarufu kwa kwa jina la vitu vya mtumba ama vitu used,kwa upande wa vitu original (nimetumia neno original kwa kua sijapata kiswahili chake sanifu} hivi ni vitu vipya kabisa kimuonekano na hakikuwahi kutumika mahala popote.
Ktk nchi yetu soko la vitu vya mtumba ni kubwa kiasi ambacho limeenea ktk sekta mbalimbali mfano ni kwenye mavazi hapa unakutana na nguo na viatu,ukiangalia kwenye masuala ya umeme huko napo pamejaa majokofu,viyoyozi,tv,pasi,rice cooker yani huku ndio pamejaa na sehem mbalimbali tu pamejaa hivi vitu vya mtumba.
Soko limekua kubwa kiasi kwamba vitu vya mtumba vinasifiwa kua ni bora kuliko vitu original mfano mdogo ukienda dukani ukanunua jinz yako ya 25000 na mwingine akaenda zake ilala au karume na akapata jinz km yako kwa 15000 bac ww wa dukani unaonekana ni mshamba na umepigwa.
Ishu ni kwamba je ni kweli vitu vya mtumba ni bora kuliko original au ni upungufu wa kipato ndio unàotufanya tuamini kua vitu vya mtumba ni bora kuliko vitu original.