Battle: Wanaume wa JF Vs Wanawake wa JF

Battle: Wanaume wa JF Vs Wanawake wa JF

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,045
Reaction score
3,389
Naam

Kumekua na mwendelezo wa kutafuta haki sawa baina ya wanaume na wanawake!

Hapa JF wamepewa haki sawa.

Unadhani kwa usawa huo, nani bora hapa JF kati ya ME na KE?

Nani mwenye hoja nzito na za maana hapa JF? Nani anatawala hapa JF pamoja na kwamba haki ipo sawa?

Nyuzi nzito kwenye majukwaa mazito hutawaliwa na kina nani?

Kwangu me naona wanaume ndo wapo juu kuanzia kiidadi, kihoja nk
 
Naam

Kumekua na mwendelezo wa kutafuta haki sawa baina ya wanaume na wanawake!

Hapa JF wamepewa haki sawa.

Unadhani kwa usawa huo, nani bora hapa JF kati ya ME na KE?

Nani mwenye hoja nzito na za maana hapa JF? Nani anatawala hapa JF pamoja na kwamba haki ipo sawa?

Nyuzi nzito kwenye majukwaa mazito hutawaliwa na kina nani?

Kwangu me naona wanaume ndo wapo juu kuanzia kiidadi, kihoja nk
aisee
 
NI UJINGA KUSHNDANISHA JINSIA MBILI NI SAWA NA KUDAI HAKI SAWA KWA WOTO AU MEN EMPOWERMENT KITU AMBACHO HAKIWEZEKANI
Tena ni ujinga wa kiwango cha lami alietuumba hakutuweka tukawa sawa ndomaana wao wameumbwa wakiwa na vinu na sisi tuna mitwangio sasa huo usawa wanaoutaka wao sijui wanataka na mimba tubebe kwa zamu? Hebu watusaidie
 
Inategemea ntu na ntu best ndio maana nimeshangaa ujue
Ki ukweli kabisa wanawake hampendani na inakuwa ngumu sana kuaminiana na kusaidiana tofauti na wanaume, unaweza kukutana katika mapambano ya maisha tukajenga undugu wa kudumu
 
Back
Top Bottom