Batuli Actress aka Cleopatra Nabisha Hodi

Batuli Actress aka Cleopatra Nabisha Hodi

Karibu sana mgeni, jisikie upo nyumbani.
JF ndo kwenyewe. Kuna Heaven on earth, heaven on desert . . . yaani full maraha while unachangamsha ubongo!

Avemaria
nipo kwa ajili ya sala na maombi, so ukihisi uhitaji au ukifeel depressed . . . any time we nitafute wala usisite.
Haya kazi kwako mamaa!!

CC: Asnam

hahaa Avemaria wanchekesha sana.......

na mie nahitaji maombi nakupata wapi!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana mgeni, jisikie upo nyumbani.
JF ndo kwenyewe. Kuna Heaven on earth, heaven on desert . . . yaani full maraha while unachangamsha ubongo!

Avemaria
nipo kwa ajili ya sala na maombi, so ukihisi uhitaji au ukifeel depressed . . . any time we nitafute wala usisite.
Haya kazi kwako mamaa!!

CC: Asnam

best ngoja nitumie hapa kachance kumuomba Batuli aka Cleopatra aniunganishe kwenye hiyo sekta,si unajua naweza kuigiza muvi ila wa kunitoa alikosekana hahahaha now i can see the light here.
CC: Mentor na Mtambuzi
 
Last edited by a moderator:
Avemaria niombee tafadhali haka kachance kafuate mkondo na upepo wangu loh si unajua kitaani unga hauuziki tena,airport kimenuka.......
 
Last edited by a moderator:
best ngoja nitumie hapa kachance kumuomba Batuli aka Cleopatra aniunganishe kwenye hiyo sekta,si unajua naweza kuigiza muvi ila wa kunitoa alikosekana hahahaha now i can see the light here.
CC: Mentor na Mtambuzi

Shaka ondoa besti, Batuli aka Cleopatra wala hanaga shida.
Ngoja aje niongee nae kipenzi . . . tena aanzie kukuweka kwenye position ya uhausi gelo mpaka ujambazi ili akuone unavoyawezea. LOL
 
Last edited by a moderator:
Avemaria niombee tafadhali haka kachance kafuate mkondo na upepo wangu loh si unajua kitaani unga hauuziki tena,airport kimenuka.......

Usijali best, hii nafasi yako.
Si unaona hadi roho wa bwana kamuongoza Batuli aka Cleopatra aje JF??
Lazima kipaji chako kionekane.

Heheh na huko kwenye poda kimenuka haswaaa.
Ukijiingiza tu wanakuMasogange!
 
Last edited by a moderator:
karibu Batuli, naomba nikuulize ivi kwanini wasanii wa kike wa bongo movies hamjitanui kisanaa kama wenzenu wa ghana mfano Martha Ankomah na Nadia Buari? Naona mmekuwa tegemezi kwa kina Ray, clauds na cheni kwa kushiriki filamu zao na wao kunufaika zaidi. Tazito ni nini?
 
Back
Top Bottom