BAVICHA acheni utapeli wa kisiasa. Mnazindua jengo sio mali yenu? Jiwe la msingi mnaandika kwa mark pen inayofutika ili mfute baadae. Huu ni utapeli

BAVICHA acheni utapeli wa kisiasa. Mnazindua jengo sio mali yenu? Jiwe la msingi mnaandika kwa mark pen inayofutika ili mfute baadae. Huu ni utapeli

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mnatapeli ili iweje? Mnataka kuonyesha kuwa mnakubalika? Kwa nini jiwe la msingi mnaandika kwa peni inayofutika? Sababu mnataka kudanganya.
20220528_084901.jpg

Hili jengo ni mali yenu? Huko misungwi? Semeni kweli tusijetukawaumbua acheni uongo
20220528_085025.jpg
 
Kama unaamini sio mali yao wewe tuambie ni mali ya nani, wacha kelele zisizo na msingi.

Kwamba kwasababu wameandika kwa "mark pen" ndio iwe sababu ya kusema jengo sio mali yao? wacha uzuzu.
Sasa lini ukazindua jengo lako alafu uandike kwa mark pen inayofutika? Acha utoto basi
 
Mnatapeli iki iweje? Mnataka kuonyesha kuwa mnakubalika? Kwa nini jiwe la msingi mnaandika kwa peni inayofutika? Sababu mnataka kudanganya.View attachment 2241841
Hili jengo ni mali yenu? Huko misungwi? Semeni kweli tusijetukawaumbua acheni uongo
View attachment 2241843
Pascal Mayalla please keep your standards, some things are not of your standard.
 
Mnatapeli iki iweje? Mnataka kuonyesha kuwa mnakubalika? Kwa nini jiwe la msingi mnaandika kwa peni inayofutika? Sababu mnataka kudanganya.View attachment 2241841
Hili jengo ni mali yenu? Huko misungwi? Semeni kweli tusijetukawaumbua acheni uongo
View attachment 2241843
Wewe boya nani alikuambia CHADEMA inahitaji kuproove kwako kuwa hili jengo ni lake? Usipoamini utajijua mwenyewe.
 
Kwa nini viongozi wa kisiasa Africa wanapenda sana kuitwa waheshimiwa?

Huwa sisikii Rais wa wa Marekani akitambulishwa kama Honorable au His excellence!

Hata wabunge wao hawaitani waheshimiwa!
Mnatapeli iki iweje? Mnataka kuonyesha kuwa mnakubalika? Kwa nini jiwe la msingi mnaandika kwa peni inayofutika? Sababu mnataka kudanganya.View attachment 2241841
Hili jengo ni mali yenu? Huko misungwi? Semeni kweli tusijetukawaumbua acheni uongo
View attachment 2241843
 
Kwa nini viongozi wa kisiasa Africa wanapenda sana kuitwa waheshimiwa?

Huwa sisikii Rais wa wa Marekani akitambulishwa kama Honorable au His excellence!

Hata wabunge wao hawaitani waheshimiwa!
Kwa hiyo?
 
Back
Top Bottom