BAVICHA kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri Gereza la Ukonga pamoja na Mashehe wa Uamsho

CHEZEENI KWINGINE KOOOTE LAKINI SIYO HAO MASHEHE SIYO WATU WA KAWAIDA HAMUWEZI KUWAONA KIRAHISI RAHISI KAMA MNAENDA KUMUONA MDUDE
 
Kufanya midahalo pekeyakehaiwezi kuwaweka magereza muda wote huo huoni zanzibar sasa shwarii unajuwa ukweli unaujuwa ila wewe ndiyo unaleta siasa za uchadema wako kwakuwa chadema walisema watawatoa wakiingia madarakani
 
Huyu binti hakuna jambo la kheri alishawahi kuandika hapa JF! Ovyo kabisa
 
Mungu ibariki JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…