BAVICHA kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri Gereza la Ukonga pamoja na Mashehe wa Uamsho

BAVICHA kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri Gereza la Ukonga pamoja na Mashehe wa Uamsho

Sidhani kama wale mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 “kwa sababu za kisiasa”.

Kuna kitu kipo nyuma ya pazia sisi common wananchi hatukijui na labda hatutakijua kamwe. Zile zama za mapadre kuuawa na makanisa kuchomwa zilishamiri sana enzi zile wakati wa vuguvugu la watu hawa. Labda hii ndio “sababu ya kisiasa”

Huu mfupa wa hawa mashehe uliwashinda marais wote wa bara na visiwani. Ngoja tuone mama Samia atafanyaje.

Ficha ujinga wako mkuu
 
Hao kuna kitu chini ya kapeti walikuwa wanakiandaa. Ndio waliochochea watalii kumwagiwa tindikali, makanisa kuchomwa, Mapadree kupigwa risasi na kuuawa, kwa ujumla matukio yenye kuashiria ugaidi yaliingia Zanzibar kwa kasi. Hao si wafungwa wa siasa na wakae Sero mpaka wawe wazee sana.
 
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

View attachment 1783662

Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Ni vema na ni utu kuwaonea huruma wanaoteseka. Hongera BAvicha.
 
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

View attachment 1783662

Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Bavicha mnawaharibia hawa watuhumiwa wa uhaini!
 
BAVICHA wanajua UTU ni nini, hao ndio BAVICHA wangu bana..
westbrookswag.png
 
Hao kuna kitu chini ya kapeti walikuwa wanakiandaa. Ndio waliochochea watalii kumwagiwa tindikali, makanisa kuchomwa, Mapadree kupigwa risasi na kuuawa, kwa ujumla matukio yenye kuashiria ugaidi yaliingia Zanzibar kwa kasi. Hao si wafungwa wa siasa na wakae Sero mpaka wawe wazee sana.
kama mna ushahidi na hilo kwanini msiupeleke mahakamani mkawahukumu kunyongwa au kifungo cha maisha ?
 
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

View attachment 1783662

Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Naona mnaendelea kumchokonoa Mama
 
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

View attachment 1783662

Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Nani atawaruhusu?
 
UPDATES
=========
Viongozi wa Bavicha wamezuiwa kuingia gereza la Ukonga , ambapo taarifa ya Askari wa zamu inaeleza kwamba KUNA MAAGIZO KUTOKA JUU KUIZUIA BAVICHA KUWAONA UAMSHO .

Maagizo kutoka juu kwa mama au?
 
kama mna ushahidi na hilo kwanini msiupeleke mahakamani mkawahukumu kunyongwa au kifungo cha maisha ?
Ushaihidi ni huo kwamba wako gerezani na Zanzibar iko swariii. Unataka nini zaidi? Uzuri ni kwamba unajua kila kitu na nafsi yako inakusuta.
 
Back
Top Bottom