Huyu mwenyekiti anafokafoka tuuu hata hajui cha kusimamia. Umoja wa vijana wanatakiwa kuwasilisha mapendekezo kamati kuu kwa baraka. Yeye anaitangazia dunia, je kamati kuu ikikataa ku adopt mapendekezo watakwenda mahakamani.????? Anachofanya huyo dogo ni insubordination kwa kamati kuu, yeye ndiyo afukuzwe