BAVICHA: Tumesikitishwa sana na walioenda kuapa, ni kitendo cha usaliti, hujuma na hakiwezi kuvumilika. Wataka hatua kali zichukuliwe

BAVICHA: Tumesikitishwa sana na walioenda kuapa, ni kitendo cha usaliti, hujuma na hakiwezi kuvumilika. Wataka hatua kali zichukuliwe

Kamati kuu CHADEMA fukuza hawa wote19 tusonge mbele.
Waende tu kuunga juhudi ili wapate vyeo na pesa ya kula raha.
 
Eti mtoke BUNGENI....

Je hizo RUZUKU mtapata WAPI?!!!

Kwa hiyo WATANZANIA HAWA ndio watakaowachangia KUENDESHA CHAMA CHENU?!!!!

Chama kina WAFANYAKAZI wanaostahili MISHAHARA....
Chama kina matumizi mbalimbali....MTATOA WAPI HAYO MAPESA?!!!

Kumbukeni huko NYUMA mliweza kuchangishana kwa kuwa KILIKUWA NI KIDOGO...LEO KIMEPANUKA NCHI NZIMA...

Mnataka MRUDI HUKO MLIKOTOKA?!!!

CHADEMA TAFAKARINI
CHADEMA TAFAKARINI
CHADEMA TAFAKARINI
 
Huyu mwenyekiti anafokafoka tuuu hata hajui cha kusimamia. Umoja wa vijana wanatakiwa kuwasilisha mapendekezo kamati kuu kwa baraka.Yeye anaitangazia dunia, je kamati kuu ikikataa ku adopt mapendekezo watakwenda mahakamani.????? Anachofanya huyo dogo ni insubordination kwa kamati kuu, yeye ndiyo afukuzwe
Chadema isipowafukuza akina mdee na kikundi chake waliojiuza kitumwa kwa Ndungai watambue kuwa chadema inafariki haraka na ghafra kama CUF ya Lipumba
 
Hakuna mtu yeyote ambae angepewa ile fursa angeikataa.

Hata Halima na Ester Bulaya wangeachwa kwenye ile orodha wangesema kama walivyosema walioachwa.

Wabunge wenyewe wa viti maalum wanajiita 'Covid 19'
Bwashee hiyo fursa wamepewa na nani?
 
Kamati kuu CHADEMA fukuza hawa wote19 tusonge mbele.
Waende tu kuunga juhudi ili wapate vyeo na pesa ya kula raha.
Hii ndiyo njia pekee ya kuinusuru chadema kinyume na hapo chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba na kusahaulika kabsa
 
Hakuna mtu yeyote ambae angepewa ile fursa angeikataa.

Hata Halima na Ester Bulaya wangeachwa kwenye ile orodha wangesema kama walivyosema walioachwa.

Wabunge wenyewe wa viti maalum wanajiita 'Covid 19'
Covid-19 😂
 
Huyo Nusrat Hanje amekaa NDANI...

Mbona ninyi akina SKY ECLAT ERTHYROCYTE OKWI BOBAN SUNZU hamkutoka barabarani kuandamana MAANDAMANO YA AMANI PALE UBUNGO?!!!

Msaliti ni NUSRAT HANJE TU...
Msaliti ni ESTHER MATIKO TU...
Msaliti ni ESTHER BULAYA TU....
Msaliti ni HALLIMA JAMES MDEE mwanamke aliyekaa RUMANDE mara kibao...mwanamke aliyejeruhiwa mara kibao tu...

Nyeenyeeee nyeenyeeee WASALITI HAO?!!!

PATHETIC
 
Mbowe alibadilisha GIA angani sijui kwa "msukumo gani"?!!!

Lowassa akaingia CHADEMA...

Pamoja na YOTE ninaamini mh.Mbowe ALITAKA RUZUKU YA CHAMA IONGEZEKE kwa kuwa na wabunge WENGI....

Leo akina MDEE wanakwenda KUSIMAMIA DEMOKRASIA NA MPATE RUZUKU...mnawaita WASALITI....

PATHETIC
 
Hawa vijana waongowaongo tuuuu.Kama walikatamata mabox kwa nini hawakupeleka polisi.Uongo huu ndiyo mtu wenu ameupeleka kwa wazungu nao wakaupokea. Haki inatafutwa mahakamani leo kweli chadema wameshindwa kupeleka issue hii mahakamani huku vielelezo wanavyo.Kuweni serious you chadema
Mahakamaccm huwa haitoi haki kwa chadema ndiyo maana hawa hawataki kwenda huko
 
Chadema isipowafukuza akina mdee na kikundi chake waliojiuza kitumwa kwa Ndungai watambue kuwa chadema inafariki haraka na ghafra kama CUF ya Lipumba
Tatizo lenu hamuamini kile Halima alichosema kuwa mwenyekiti katoa baraka lakini mnataka wafukuzwe bila kujua kwenye bahasha ya mwenyekiti kuna nini Subirini kesho,mtaaibika
 
Ili Chadema ipone, Fukuzeni shina la tatizo!!!

Hao Wana mama mnawaonea tu!!

Mtimueni aliyewapa kibali hicho Mh Mbowe!!!

Hata hivyo kuna mwenye uthubutu wa kumtimua??😂😂😂
 
Alikwambia nani kuwa Chadema Ina shida ya ruzuku.
Mnaendeshaje chama bila RUZUKU?!!

MBONA MMECHANGISHA walalahoi kampeni za juzi za TUNDU LISSU?!!

Mbona mliomba tuwachangie zile milioni 300 muwatoe RUMANDE watu wenu?!!
 
Back
Top Bottom