ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kamati Kuu ya Chadema haikuonyesha leadership. Imebidi Wakinamama wafanye maamuzi waliyoona yanafaa. Wameshaapishwa, ndio wabunge waliopo.
Kamati Kuu ya Chadema haina mamlaka ya kumvua mtu Ubunge
Njaa kaka..! Wengi wao ‘Nje’ ya shughuli za kibunge hawajajiwekeza vya kutosha kuweza kuendesha maisha yao. Pathetic.Unbelievable Halima anaweza kufanya alichofanya! YUda Escariote!
Huu ni mchezo anaye chezewa ni ccm
Slaa nayeye alikuwa mwizi ndiyo maana alinunuliwa kwa dola milion 2 na kupewa nyumba canada akatoroka, pesa za walipa kodi zinatumika hovyo kwa mambo yasiyo na tija kwa TaifaChadema halisi ilikuwa ya Dr Slaa,
Hii hata haieleweki!
Subiri Mbowe store tamko la kuwabeba hao strong woman tuone bavicha na Mnyika aibu wataiweka wapi?
🤣🤣🤣Hayakuhusu enenda ukafuatilie mgao wa ruzuku huko kwenu ili muongezewe bk7 ni ndogo ukilinganisha na juhudi zako/zenu
Naunga mkono hoja kwa 100%Wafukuzwe haraka
hao madanga
Chadema halisi ilikuwa ya Dr Slaa,
Hii hata haieleweki!
Subiri Mbowe atoe tamko la kuwabeba hao strong woman tuone bavicha na Mnyika aibu wataiweka wapi?
Wafukuzwe haraka
hao madanga
Nyumbu hawana kumbukumbu Tena, kila wanachoambiwa na Mbowe yanafuata tuu HAKUNA kufikiria.Unazidi kujichanganya, real criminals wanawazidi akili, badala ya kuwawajibisha, mnawatetea tena kwa nguvu zote, so sad!
Umenunuliwa na mdee hadi umejitoa fahamu zote hujui kuwa hata mdee katimia mfumo Jike kujiteua kienyeji kishamba na kishetani kwenda utumwani mwa Ndungai pasipo kufuata utaratibu sahihi, kama ndiyo unasaka uteuzi kwa mbinu hii sahau milele hutakaa upate uteuzi🤣🤣🤣
Sawaaa....
Tunakumbushana tu ya kwamba MNAWABAGUA WANAWAKE na mfumo wenu DUME hapo CHADEMA....
Ya kwamba safari hii HALLIMA MDEE amekataa kuwa STAMP ya kupitisha "majina ya MWENYEKITI"...
👆👆👆👆
Hapo ndipo mzozo ulipoanzia 🤣🤣
Ukisoma between the lines hapa kwenye “kuruhusu maoni na mapendekezo ili chama kichukue hatua” utaona bila shaka mchezo huu unakwenda kuisha vipi... na kwakuwa katibu mkuu amesema wanaruhusu maoni na mapendekezo ya wanachama ili chama kiweze kuchukua hatua, sisi kama kamati ya utendaji tumekaa na tumeamua kwa kauli moja tuishauri kamati kuu ya chama ichukue hatua kali ..
Kila awekaye hoja kinzani NANYI basi huvizia UTEUZI?!!Kama unasaka uteuzi kupitia hili Dili lako haramu sahau kuhusu uteuzi kwani laana ya pesa za walipa kodi mnazotafuna kwa mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa itawameza wote
Kutumia mfumo jike kuijeua kienyeji kishamba na kishetani kwenda Bungeni pasipo kufuata utaratibuKwa kosa lipi?
Bado yaleyale, wimbo huohuo mmeibishwa Hadi leo akili za kufikiria hamna.CHADEMA inapita kwenye tanuru la MOTO.
CHADEMA itazidi kuwa mto mkali, wasaliti watajiengua tu.
Mapambano ya uhuru hayaji kiurahisi, VIJANA WA CHADEMA simameni na wananchi.
Nawapongeza.
Haya wapokeeni kwa amani, muwape ubunge wa CCM, kambi upinzani🤣🤣🤣
Sawaaa....
Tunakumbushana tu ya kwamba MNAWABAGUA WANAWAKE na mfumo wenu DUME hapo CHADEMA....
Ya kwamba safari hii HALLIMA MDEE amekataa kuwa STAMP ya kupitisha "majina ya MWENYEKITI"...
👆👆👆👆
Hapo ndipo mzozo ulipoanzia 🤣🤣
Tuwaache waendelee na mivutano yao. Sisi tunaandaa mashamba mvua zinanyeshaHakuna mtu yeyote ambae angepewa ile fursa angeikataa.
Hata Halima na Ester Bulaya wangeachwa kwenye ile orodha wangesema kama walivyosema walioachwa.
Wabunge wenyewe wa viti maalum wanajiita 'Covid 19' wakiashiria idadi yao
Mlisema hawaendi, Sasa mmeguza eti kipenzi Cha CCM, nyumbu mtaimbishwa hizo nyimbo kila siku na saccos inaendelea kuwafanya nyumbu kila siku.Naona Mdee ghafla amekuwa kipenzi cha CCM.
... ndio hivyo Mkuu; yeye kapima kipi bora (kwake) kati ya mapenzi ya mashabiki wake na 1.4bn/- in just 5 yrs.Iko wazi kabisa, wengi tulimpenda na kumthamini sana, lakini kachemsha.
Na huyo atakaetambulika ndani chama kuwa alikuwa mbia wa njama hizo nae hivyohivyo.