ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Mna hofu gani, kwa niaba yenu, Ndugai yupo atawapokea na kuwalinda kama yule wa Ndada aliejivua uanachama mwenyewe. Watakuwa wabunge wenu.
Kamati Kuu ya Chadema haikuonyesha leadership. Imebidi Wakinamama wafanye maamuzi waliyoona yanafaa. Wameshaapishwa, ndio wabunge waliopo.
Kamati Kuu ya Chadema haina mamlaka ya kumvua mtu Ubunge