Pre GE2025 BAVICHA wafika nyumbani kwa Bibi yake Soka, washerehekea Krismasi pamoja

Pre GE2025 BAVICHA wafika nyumbani kwa Bibi yake Soka, washerehekea Krismasi pamoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Dah naye soka na misery walikuwa wanajua siri za hela za Abdul ? 😭😭😭😭
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Ngoja tusubiri kauli ya mgombea uwenyekiti - maana kila jambo yeye analijua - hakawii kusema hawa vijana ndiyo wamemficha soka.
 
Vijana wa CHADEMA kutoka Kanda ya Kaskazini walijumuika kusherehekea Sikukuu ya Krismasi nyumbani kwa bibi yake Deusdedith Soka, huko Kibosho. Hafla hiyo pia iliadhimisha siku ya kuzaliwa ya Soka, ikileta furaha na mshikamano kati ya viongozi na wanachama wa chama hicho.

Pia, Soma: Mke wa Frank Mbise, kijana aliyetekwa pamoja na Soka wa CHADEMA aongea kwa uchungu baada ya mumewe kutekwa. Amtaja Rais Samia!
Kuna uwezekano mkubwa hawa vijana tusiwaone tena😭😭😭
 
Mbowe anasema maridhiano yameleta mafanikio Chadema. Lile jitu ni katili sana
 
  • Thanks
Reactions: G4N
CCM ni janga la kitaifa.inaua wtz ili tu Samia wao asikosolewe kuhusu maovu yake.Serikali ya huyu mama ni ya kijambazi na haifai kabisa kuwepo duniani
 
CCM ni janga la kitaifa.inaua wtz ili tu Samia wao asikosolewe kuhusu maovu yake
Mbowe ni janga zaidi ya Samia.


Na hawa bavicha kama kweli wana uchungu na Soka, basi wapige kampeni ya kumbandua Mbowe kwenye uenyekiti. Lisu ndiye mkombozi wao
 
Back
Top Bottom