Kwani mwanaume havai chupiYAANI MWANAUME MZIMA UNAPIGANA NA MWANAMKE ALIYEVAA CHUPI TU nchi hii Ina laana
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwanaume havai chupiYAANI MWANAUME MZIMA UNAPIGANA NA MWANAMKE ALIYEVAA CHUPI TU nchi hii Ina laana
Umeelewa kwanini nimeandika hayo hapo juu..?This is a mistake you're trying to made, Police ana mafunzo maalumu ya namna ya kukabiliana na wahalifu wenye silaha na wasio na silaha haya mafunzo P.O hana ndio maana wamejaribu kidogo tu kudili na raia wamewaumiza vibaya sana.
P.O ana mafunzo maalumu ya kumrekebisha tabia mnyoli kwa njia zote Askari polisi hana mafunzo ya kumrekebisha mtu tabia ndio maana huwezi kukuta Polisi anaitwa mzee na muhalifu au mfungwa ila P.O muhalifu yoyote atamuita mzee!
Thanks a bunch, it was a keyboard error.trying to made X
It is trying to make.
Nimekuelewa sana boss, point yako ni kujaribu kuwalinganisha watu wawili tofauti na wenye majukumu tofauti.
Sasa nani mkali polisi anaenda kuwakamata wakiwa kwenye free zone, wakiwa hawajaumizwa, wakiwa na silaha na magereza anayekuja kuwatunza wakiwa tayari wamelegezwa na polisi, wameisha wanyanganaya silaha na kuwatia pingu.
kikosi cha kupiga wanawake?Sijui kama kuna mtu anajua kama jeshi la Magereza ni muongoni mwa majeshi yenye mazoezi makali pamoja na kuwa na kikosi maalum (special forces)
ivi unawazazi kweli?Watu wamekula vifuti mpaka kuvunjwa mkono( ingawa natamani wangevunja mguu) baada ya kwenda kufanya fujo kwenye geti la Magereza.
macson
R L zinatofauti mkuuTena wanabahati sana ilitakiwa wavunjwe viuno mpaka washindwe kuwakatia viuno hawara zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamekula vifuti mpaka kuvunjwa mkono( ingawa natamani wangevunja mguu) baada ya kwenda kufanya fujo kwenye geti la Magereza.
macson
Yaani hawa jamaa wanaangukaga sana kwa sababu ya njaa na kung'atwa na mbu wakiwalinda wafungwa wasikimbie
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena wanabahati sana ilitakiwa wavunjwe viuno mpaka washindwe kuwakatia viuno hawara zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama kuna mtu anajua kama jeshi la Magereza ni muongoni mwa majeshi yenye mazoezi makali pamoja na kuwa na kikosi maalum (special forces)
Hao wanawake hata wewe wakikuongelea lazima manyigu yakujae kichwani,wana maneno ya shombo hao hatari[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa wameonyeshwa trela kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Membe,Makamba,Kinana,Nape,Lowassa,Sumaye,Nk walikuwa na mawazo Kama yakoTena wanabahati sana ilitakiwa wavunjwe viuno mpaka washindwe kuwakatia viuno hawara zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Askari wake Ni njaa Sana tofauti na Askari wengine.Magereza nalo jeshi!!?
Acha bangi mbichi wewe
Tafuta mkwanja dogoo vinginevyo utaendelea kushangilia sanaa vipigo vya watanzania wenzako kwa chuki binafsi tuu ya kupigika kimaishaWatu wamekula vifuti mpaka kuvunjwa mkono( ingawa natamani wangevunja mguu) baada ya kwenda kufanya fujo kwenye geti la Magereza.
macson
Sijui kama kuna mtu anajua kama jeshi la Magereza ni muongoni mwa majeshi yenye mazoezi makali pamoja na kuwa na kikosi maalum (special forces)
KMKM. Hao ndiyo FFU wa magereza. Waliowahi kuwa mahabusu na jela au walioishi jirani na magereza ndiyo watawajua ila wananchi wengi hawafahamu kama wapo.Sijui kama kuna mtu anajua kama jeshi la Magereza ni muongoni mwa majeshi yenye mazoezi makali pamoja na kuwa na kikosi maalum (special forces)