Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
BAVICHA wamekuwa wapiga soga wapiga ramli waigizaji wapika majungu wametoka kwenye siasa ziwe za kujenga hoja au za kiunaharakati wamekuwa wapiga majungu ambao wanashindwa kutambua kwamba uimara wa Chama Chao hautokani na madhaifu ya CCM bali unatokana na Sera dhabiti zenye kuunganisha makundi yaliyoonewa lkn sasa wanamwandama yeyote aliye na Mapenzi na CCM
Kwa hali ambayo Chama hiki kimefikia kimeshakuwa kikundi cha watu vilaza sana walimshambulia Diamond wakashindwa kila agenda waaanzishayo wameshindwa poleni sana vijana wapiga Majungu hata CCM wakigombana lkn ndio wanaongoza nchi kwani kuna shida gani mama anaonyesha dalili zote kwamba msimfuate fuate lakini hamsikkii
Kwa hali ambayo Chama hiki kimefikia kimeshakuwa kikundi cha watu vilaza sana walimshambulia Diamond wakashindwa kila agenda waaanzishayo wameshindwa poleni sana vijana wapiga Majungu hata CCM wakigombana lkn ndio wanaongoza nchi kwani kuna shida gani mama anaonyesha dalili zote kwamba msimfuate fuate lakini hamsikkii