BAVICHA wanajipendekeza sana kwa Rais Samia pamoja na viashiria ambavyo mama anawaambia kuwa mind your own business

BAVICHA wanajipendekeza sana kwa Rais Samia pamoja na viashiria ambavyo mama anawaambia kuwa mind your own business

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
BAVICHA wamekuwa wapiga soga wapiga ramli waigizaji wapika majungu wametoka kwenye siasa ziwe za kujenga hoja au za kiunaharakati wamekuwa wapiga majungu ambao wanashindwa kutambua kwamba uimara wa Chama Chao hautokani na madhaifu ya CCM bali unatokana na Sera dhabiti zenye kuunganisha makundi yaliyoonewa lkn sasa wanamwandama yeyote aliye na Mapenzi na CCM

Kwa hali ambayo Chama hiki kimefikia kimeshakuwa kikundi cha watu vilaza sana walimshambulia Diamond wakashindwa kila agenda waaanzishayo wameshindwa poleni sana vijana wapiga Majungu hata CCM wakigombana lkn ndio wanaongoza nchi kwani kuna shida gani mama anaonyesha dalili zote kwamba msimfuate fuate lakini hamsikkii
 
Kuwaonea huruma wafia chama(UVCCM)kuwa ina kuwaje wanatoka damu na jasho lakini kwenye teuzi wanakula za uso ni kosa?!! Dalili zipi hizo eti wasimfuate?najua mko kwenye kipindi kigumu sana, ni roho mtakatifu tu ndio wakuweza kuwasaidia, kwani mlizoeashwa na mwendazake uvccm mwenye matusi/katili ndio sifa kuu ya uteuzi(muasisi wa siasaa za kishamba) sasa zama hizo zimepitwa, MI UVCCM INALUKA NA KUKANYAGANA
 
Bavicha ni genge la wahuni!

Wametokwa mapovu sana baada ya kina Nassari, Mashinji na Lijuakali kuteuliwa. Ila walipoona mama amewapotezea wakageuza kibao eti uvccm wanaumia! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fisi huwa wanakomeshwa??

Hebu kuwa serious aisee, Mama Samia ameshawanyoosha nyie mataga wote.
Amewanyooshaje?

Hebu weka idadi ya wateuliwa wote hapa kisha tuone waliotoka upinzani ni wangapi na walioteuliwa toka ccm ni wangapi ili tuone jinsi mama alivyowakomesha uvccm,!

Bavicha uwezo wenu wa kuona mambo huwa mnaona mwisho wa zinapoishia nyayo zenu tu
 
Amewanyooshaje?

Hebu weka idadi ya wateuliwa wote hapa kisha tuone waliotoka upinzani ni wangapi na walioteuliwa toka ccm ni wangapi ili tuone jinsi mama alivyowakomesha uvccm,!

Bavicha uwezo wenu wa kuona mambo huwa mnaona mwisho wa zinapoishia nyayo zenu tu
aisee vipi mbona unanilazimisha kuleta PDF ya wateuliwa wakati unajua pakuipata??
 
Bavicha wamekuwa wapiga soga wapiga ramli waigizaji wapika majungu wametoka kwenye siasa ziwe za kujenga hoja au za kiunaharakati wamekuwa wapiga majungu ambao wanashindwa kutambua kwamba uimara wa Chama Chao hautokani na madhaifu ya CCM bali unatokana na Sera dhabiti zenye kuunganisha makundi yaliyoonewa lkn sasa wanamwandama yeyote aliye na Mapenzi na CCM...
Ni kama unabadilisha gear hewani, kama unamsifu mama hivi?! Kuna meelekeo wa sukumagang kufa?
 
We jamaa umeanza kuwa upande wa mama sasa hivi?

Hivi unajua kama kabati la teknolojia limehifadhi utumbo wa thread zako zote za mwanzoni ulizokuwa unatapika kuhusu utawala wa mama?
 
Kijana sikujui hunijui usinitafutie Ban
nawahurumia vijana wa CHADEMA sana yaani wamepauka maisha yao ya kuunga unga wamenyonyolewa na Mbowe kila mara anapokosaa hela ya kumalizia apartments zake anakuja na swaga za michango mama naye amewachomolea kukutana naye wanabaki kulia lia tu ukimwangalia mtu kama Pambalu ana madeni tapeli na gqri yake wameishikilia kwa madeni ya uchaguzi
 
Siku izi hao wanajiona watawala, utasikia kamata huyu weka ndani. Jamani nyie cdm mnaringia utajiri wa jirani leo!
 
We jamaa umeanza kuwa upande wa mama sasa hivi?

Hivi unajua kama kabati la teknolojia limehifadhi utumbo wa thread zako zote za mwanzoni ulizokuwa unatapika kuhusu utawala wa mama?
Mama amekubali kujenga Reli, amekubali kujenga Meli, analeta maji kila pahala, anajenga stand na masoko, anajenga mradi wa Umeme mto Rufiji, amewateuwa akina Nassari Lijualikali, Msando, Kalist Lazaro kuwa wakuu wa wilaya mama mwenyewe Magufulists kwa nn nimpinge Magufulists mwenzangu Mama Samia mpaka 2030 atake asitake
 
Back
Top Bottom