Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Utakuwa mjinga sana ikiwa ulisubiri Makonda aje akufundishe siasaNaona watoa taarifa mnazidi kutoa taarifa😆😆😆
Utakuwa mjinga sana ikiwa ulisubiri Makonda aje akufundishe siasa
Umeishiwa hoja haraka sana ! Imekuwaje ghafla hivi ?Ukiwaangalia unaona namna walivyojikatia Tamaa na kukosa matumaini ya chochote kile. Wapowapo tu huku wakisikitika namna chama kinavyotafuna pesa na michango ya wanachama kama mchwa.
Paza sauti mpaka mbowe aje hadharani kueleza pesa za join the chain zipo wapi? Zilikusanywa shilingi ngapi? Zimefanya kazi ipi?kwa utaratibu upi?
Pesa za join the chain zipo wapi ndugu yangu Erythrocyte?Umeishiwa hoja haraka sana ! Imekuwaje ghafla hivi ?
HakikaCHADEMA chama sahihi kwa waTanzania 2024 na 2025, tusifanye makosa.
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , ile Taasisi bora ya Vijana Barani Africa , ambayo pia inatajwa kushika nafasi ya tatu kwa Ubora Duniani Bavicha , inakutana mkoani Morogoro kwa semina ya kuwaongezea uwezo Wajumbe wake wa Kamati ya Utendaji.
Wakati Taasisi hii ambayo ndio Chimbuko la viongozi wa Tanzania ikiwa ni pamoja na Mawaziri na Ma DC inakutana Morogoro , Wengine wako ICU baada ya kuvunjika migongo huko Lumumba
View attachment 2795979View attachment 2795980View attachment 2795981View attachment 2795982View attachment 2795984View attachment 2795984
Ukiwaangalia unaona namna walivyojikatia Tamaa na kukosa matumaini ya chochote kile. Wapowapo tu huku wakisikitika namna chama kinavyotafuna pesa na michango ya wanachama kama mchwa.
Paza sauti mpaka mbowe aje hadharani kueleza pesa za join the chain zipo wapi? Zilikusanywa shilingi ngapi? Zimefanya kazi ipi?kwa utaratibu upi?
Mbona kuna sura humo haziashirii kabisa uanachama, hamjascan nani wako serious na kazi?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , ile Taasisi bora ya Vijana Barani Africa , ambayo pia inatajwa kushika nafasi ya tatu kwa Ubora Duniani Bavicha , inakutana mkoani Morogoro kwa semina ya kuwaongezea uwezo Wajumbe wake wa Kamati ya Utendaji.
Wakati Taasisi hii ambayo ndio Chimbuko la viongozi wa Tanzania ikiwa ni pamoja na Mawaziri na Ma DC inakutana Morogoro , Wengine wako ICU baada ya kuvunjika migongo huko Lumumba
View attachment 2795979View attachment 2795980View attachment 2795981View attachment 2795982View attachment 2795984View attachment 2795984
Wewe huhusiki na lolote la ChademaHela za join the chain zilikusanywa kiasi gani na zimetumikaje?
Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye Chai - JK NYEREREMbona kuna sura humo haziashirii kabisa uanachama, hamjascan nani wako serious na kazi?
Ndiyo hao unakunywa nao humoKama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye Chai - JK NYERERE
huna hojaNdiyo hao unakunywa nao humo
Mikopo inatoka lini kwenye saccos vikoba!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , ile Taasisi bora ya Vijana Barani Africa , ambayo pia inatajwa kushika nafasi ya tatu kwa Ubora Duniani Bavicha , inakutana mkoani Morogoro kwa semina ya kuwaongezea uwezo Wajumbe wake wa Kamati ya Utendaji.
Wakati Taasisi hii ambayo ndio Chimbuko la viongozi wa Tanzania ikiwa ni pamoja na Mawaziri na Ma DC inakutana Morogoro , Wengine wako ICU baada ya kuvunjika migongo huko Lumumba
View attachment 2795979View attachment 2795980View attachment 2795981View attachment 2795982View attachment 2795984View attachment 2795984
Kwa nini hakuvua viatu? mbona ni common sense!!