jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wewe huhusiki na lolote la Chadema
Nilijisajiri ni mwachama na uhalali kwa kuhoji hili suala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huhusiki na lolote la Chadema
Common sense is not so common kwake !Kwa nini hakuvua viatu? mbona ni common sense!!
Umechoka mapema sana kifikraUkiwaangalia unaona namna walivyojikatia Tamaa na kukosa matumaini ya chochote kile. Wapowapo tu huku wakisikitika namna chama kinavyotafuna pesa na michango ya wanachama kama mchwa.
Paza sauti mpaka mbowe aje hadharani kueleza pesa za join the chain zipo wapi? Zilikusanywa shilingi ngapi? Zimefanya kazi ipi?kwa utaratibu upi?
😆😆😆😆Umechoka mapema sana kifikra
Hiki ndio Chama sasa. Sio wale wazee wa mitulingaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba , ile Taasisi bora ya Vijana Barani Africa , ambayo pia inatajwa kushika nafasi ya tatu kwa Ubora Duniani Bavicha , inakutana mkoani Morogoro kwa semina ya kuwaongezea uwezo Wajumbe wake wa Kamati ya Utendaji.
Wakati Taasisi hii ambayo ndio Chimbuko la viongozi wa Tanzania ikiwa ni pamoja na Mawaziri na Ma DC inakutana Morogoro , Wengine wako ICU baada ya kuvunjika migongo huko Lumumba
View attachment 2795979View attachment 2795980View attachment 2795981View attachment 2795982View attachment 2795984View attachment 2795984
Hehehemakamanda wangalini bavicha kwa jicho la upendo
Hawa vijana wanajua kupiga Pamba nzuri aisee.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , ile Taasisi bora ya Vijana Barani Africa , ambayo pia inatajwa kushika nafasi ya tatu kwa Ubora Duniani Bavicha , inakutana mkoani Morogoro kwa semina ya kuwaongezea uwezo Wajumbe wake wa Kamati ya Utendaji.
Wakati Taasisi hii ambayo ndio Chimbuko la viongozi wa Tanzania ikiwa ni pamoja na Mawaziri na Ma DC inakutana Morogoro , Wengine wako ICU baada ya kuvunjika migongo huko Lumumba
View attachment 2795979View attachment 2795980View attachment 2795981View attachment 2795982View attachment 2795984View attachment 2795984
Drama za kipuuzi.
Hongereni sn
Hao wanajitambua tofauti na wewe boga unayeshinda humu kusifia watawala ambao hawana time na wewe.Ukiwaangalia unaona namna walivyojikatia Tamaa na kukosa matumaini ya chochote kile. Wapowapo tu huku wakisikitika namna chama kinavyotafuna pesa na michango ya wanachama kama mchwa.
Paza sauti mpaka mbowe aje hadharani kueleza pesa za join the chain zipo wapi? Zilikusanywa shilingi ngapi? Zimefanya kazi ipi?kwa utaratibu upi?
Ndiyo mwisho wako wa kufikiri huu. Kinachofuata ni kubokolewa tu maana mbinu ya kusifia ili uteuliwe imefeli. Utaliwa sanaPesa za join the chain zipo wapi ndugu yangu Erythrocyte?
Pole kwa maumivuHivi Hawa wahuni Bado wapo?