BAVICHA yafika gereza la Mkuza Kibaha katika Muendelezo wa kuwafariji na kuwasalimia wafungwa wa kisiasa

BAVICHA yafika gereza la Mkuza Kibaha katika Muendelezo wa kuwafariji na kuwasalimia wafungwa wa kisiasa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ikumbukwe kwamba ndani ya Gereza hilo wamewekwa wanachama lukuki wa Chadema , akiwemo aliyekuwa Mgombea udiwani wa kata ya Kikongo ndugu Haji Omari na wenzake 7 , ambapo wote hawa wamepewa kesi isiyo na dhamana ya mauaji .

Wako ndani kwa zaidi ya miezi sita kutokana na kesi ya uzushi ya mauaji , Bali tunaamini kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu , kila ubaya utalipwa .

Twaha__Mwaipaya_on_Instagram:_“Leo_tar._16.5.2021_na_Mh._@johnpambalu__tumefika_Gereza_la_Mkuz...jpg


Mungu ibariki Bavicha .
 
Kwanini hawa wafungwa wasiachiwe huru wakati tabia za mwendazake dhidi ya upinzani zilikuwa zinajulikana wazi?
 
Ikumbukwe kwamba ndani ya Gereza hilo wamewekwa wanachama lukuki wa Chadema , akiwemo aliyekuwa Mgombea udiwani wa kata ya Kikongo ndugu Haji Omari na wenzake 7 , ambapo wote hawa wamepewa kesi isiyo na dhamana ya mauaji .

Wako ndani kwa zaidi ya miezi sita kutokana na kesi ya uzushi ya mauaji , Bali tunaamini kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu , kila ubaya utalipwa .

View attachment 1787285

Mungu ibariki Bavicha .
Heri wanaowafariji wafungwa.
 
Kisha Yesu atawambia wale walio mkono wake wa Kulia " Pokeeni ufakme wa Mungu, nalikuwa mfungwa mkaja kuniona, nalikuwa na njaa mkanilisha"
Mmebarikiwa tangu kuubwa ulimwengu
Aiseeee !!
 
Serikali ya awamu ya sita, kupitia ofisi husika fanyieni kazi kauli ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwa kesi za mahabusu wa zisizo na kichwa wala miguu au kisiasa zifutwe .
Toka maktaba:
8 May 2021
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na pia ni mkurugenzi toka Ofisi ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya rais IKULU ,hapo awali alipata kukanusha kuwepo wafungwa wa kisiasa


8 May 2021
MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWAKA TAARIFA NI YA UONGO,HAKUNA WAFUNGWA WA KISIASA TANZANIA
 
Wajenge walau hata ofisi ya makao makuu
Miaka 25 ya uhai chama hakina hata kiwanja!
Mwenyekiti zaidi ya miaka 16 hajafanya chochote kuimarisha infrastructure za chama!
Halafu eti wanataka tuwape nchi; hata kama tumerogwa hampati ng'oo!
Nyerere alivyokuwa anapigania uhuru wa nchi hii alikuwa ana ofisi gani ?
 
Ikumbukwe kwamba ndani ya Gereza hilo wamewekwa wanachama lukuki wa Chadema , akiwemo aliyekuwa Mgombea udiwani wa kata ya Kikongo ndugu Haji Omari na wenzake 7 , ambapo wote hawa wamepewa kesi isiyo na dhamana ya mauaji .

Wako ndani kwa zaidi ya miezi sita kutokana na kesi ya uzushi ya mauaji , Bali tunaamini kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu , kila ubaya utalipwa .

View attachment 1787285

Mungu ibariki Bavicha .
Mbona bavicha wenyewe wanaonekana kuogopa?
 
Back
Top Bottom