BAVICHA yafika gereza la Mkuza Kibaha katika Muendelezo wa kuwafariji na kuwasalimia wafungwa wa kisiasa

BAVICHA yafika gereza la Mkuza Kibaha katika Muendelezo wa kuwafariji na kuwasalimia wafungwa wa kisiasa

Ikumbukwe kwamba ndani ya Gereza hilo wamewekwa wanachama lukuki wa Chadema , akiwemo aliyekuwa Mgombea udiwani wa kata ya Kikongo ndugu Haji Omari na wenzake 7 , ambapo wote hawa wamepewa kesi isiyo na dhamana ya mauaji .

Wako ndani kwa zaidi ya miezi sita kutokana na kesi ya uzushi ya mauaji , Bali tunaamini kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu , kila ubaya utalipwa .

View attachment 1787285

Mungu ibariki Bavicha .
Ni kweli, hamna, shetani hajawahi kumshinda Mungu. Na kana kumbe ni muuaji, ukimtoa utakumbana na wafiwa wenye hasira. Lini mnaenda Njombe? Na Tunduma? Nako shetani aliua mtu pia. Dunia nzima kesi ya mauuaji huwaga haina maana.
 
Ikumbukwe kwamba ndani ya Gereza hilo wamewekwa wanachama lukuki wa Chadema , akiwemo aliyekuwa Mgombea udiwani wa kata ya Kikongo ndugu Haji Omari na wenzake 7 , ambapo wote hawa wamepewa kesi isiyo na dhamana ya mauaji .

Wako ndani kwa zaidi ya miezi sita kutokana na kesi ya uzushi ya mauaji , Bali tunaamini kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu , kila ubaya utalipwa .

View attachment 1787285

Mungu ibariki Bavicha .
Kina Mbowe huwezi kuwaona wakipoteza muda huko.
 
Ni kweli Mungu wetu ni Mungu wa HAKI - tayari utawala wa Mwendazake uliingia dosari na ukakosa utukufu na ndiyo yakatokea haya tuyaonayo.

Poleni sana wahanga wa uchaguzi Mkuu wa October 2020, Mungu mwenyezi atawafuta machozi tena na tena ninyi na familia zetu.
 
May 29 , 2021
Shinyanga, Tanzania

CHADEMA YAWATEMBELEA FRANCIS KISHABI NA WENZAKE GEREZANI



Source : DarMpya TV
 
Back
Top Bottom