nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Unataka wawe wangapi?Kwa hiyo wafanya biashara ndio hao wanne waliopiga picha hapo!!??
njoo na track nyingine hii mbovu
Bila shilingi moja, shilingi mia haikamiliki mataga wewe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka wawe wangapi?Kwa hiyo wafanya biashara ndio hao wanne waliopiga picha hapo!!??
njoo na track nyingine hii mbovu
Mtoto aking’ang’ania nyumbani unamtimua akalete hela. Tunahitaji wafanyabiashara wafanye nje ya nchi ili walete pesa za kigeni. Siyo kwenda kuzoa madawa ya kulevya na kuharibu vijana wetu. Wewe haya mambo yanakuzidi siyo kosa lakoWafanya biashara wakwetu wamekimbia ugandamizaji,mfano ulioutoa unawahusu wale walioenda kwa hiari na mapenzi yao,acha kuchanganya mambo!
Mungu wao aliwazoeza kuwa sponsoring..Huwezi kuwapata kwa wingi sasa hivi ..hakuna wa kuwafadhili tena
😆😆😆Wafanya biashara wakwetu wamekimbia ugandamizaji,mfano ulioutoa unawahusu wale walioenda kwa hiari na mapenzi yao,acha kuchanganya mambo!
Kwa hiyo hao ndio wafanyabiashara wenyewe!!?Unataka wawe wangapi?
Bila shilingi moja, shilingi mia haikamiliki mataga wewe!!
wewe lazima Bavicha ikutandike kiharusi mwaka huuKwa hiyo hao ndio wafanyabiashara wenyewe!!?
nyumbu bana.....
mmekwenda kuomba hela tu hakuna lolote
Mbona nyie wengi huko kwenu Magu kawachapa vya kutosha mnaweweseka na kivuli chake hadi saa hii....wewe lazima Bavicha ikutandike kiharusi mwaka huu
Sasa leo yuko wapi ?Mbona nyie wengi huko kwenu Magu kawachapa vya kutosha mnaweweseka na kivuli chake hadi saa hii....
Ukweli mtupu .BAVICHA kwa maendeleo ya Taifa
Kama hutumii kilevi chochote nakushauri usitumie,kama hujalewa uelewa wako ndio huo,ukilewa itakuaje?Mtoto aking’ang’ania nyumbani unamtimua akalete hela. Tunahitaji wafanyabiashara wafanye nje ya nchi ili walete pesa za kigeni. Siyo kwenda kuzoa madawa ya kulevya na kuharibu vijana wetu. Wewe haya mambo yanakuzidi siyo kosa lako
Anaendelea kuwachapa tokea huko alikoSasa leo yuko wapi ?
Msikilize Sheikh Mazinge hapa kama kuna nafasi hiyo kaburiniAnaendelea kuwachapa tokea huko aliko
Haijulikani kama unalia au unagugumia , bali taarifa ya Wafanyabiashara kutimkia Zambia ililetwa na Serikali ya Tanzania kupitia kwa RC wa Songwe , ambapo alishika kipaza sauti kile wanachouzia dawa za mende na sumu za panya akiwa ng'ambo ya Tanzania akiwaomba wafanyabiashara wale warudi TanzaniaPropaganda za kipuuzi hizo, kama hujui watanzania wanaofanya kazi Zambia hasa za kibiashara ni wengi na wapo kuanzia miaka ya 70s to date.
Wengine ndugu zetu wa damu waliamua kuishi na kufanya biashara Zambia kitambo Sana. Dada yangu wa kwanza yupo zambia toka 1992 nae kakimbia kodi?
Bavicha wakae wajenge chama, wakae na akina Halima Mdee wawafundishe siasa. Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu, haiwezekani mpaka afie madaraka.. aache udikteta na ubabe aruhusu demokrasia.
Nikimnukuu sumaye aliambiwa hivi na Mbowe "sumu haionjwi" kosa la sumaye ni kutaka kugombea uwenyekiti, hyo ni demokrasia?
Rudini bongo 2025 bado hali sio
Ile Taasisi bora ya vijana barani Africa kwa sasa, BAVICHA, imewasili nchini Zambia ambako inawajulia hali Lundo la Wafanyabiashara wa Tanzania kutoka Tunduma na maeneo mengine ambao walitafuta hifadhi ya kibiashara nchini humo baada ya kukimbia manyanyaso nchini mwao.
Bavicha imeongea na wafanyabiashara hao katika nchi jirani ambao wamekiri kupokelewa vema nchini Zambia na kwamba kodi wanayolipa katika nchi ya watu ni Rafiki mno na kwamba wanaimudu bila shaka na wanapata faida.
Wengi wao wameapa kutorudi tena kufanya biashara nchini Tanzania.
Juhudi za kuwabembeleza bado zinaendelea.
Mataga nao hawana tofauti na MBUZIBAVICHA hawana tofauti na bongo movie.