BAVICHA yaingia nchini Zambia kuwajulia hali wafanyabiashara waliokimbia unyanyasaji Tanzania

Kumbe unajielewa kuwa wewe ni mteja wa Mirembe! Pole sana
 
Ahahahahahahahahah!!!! BAVICHA ambaye Mwenyekiti wa chama chao kitaifa alifungiwa "AKAUNTI ZOTE" benki ikabidi aamishie biashara zake Afrika Kusini na Dubai! Sijui alimaanisha nini kuhusu "AKAUNTI ZOTE"! Ahahahahahahahahah!!!!!!!!
 
Bavicha na kyadema wao ni watu wa matukio aisee eti wameenda kuwatembelea hapo mpaka wa Tunduma wapo wafanyabiashara wengi ambao ama wanatoka Nakonde wanafanya biashara Tunduma ama wa Tunduma wanafanya biashara zao Nakonde na hata ukienda upande wa Zambia utakuta bidhaa zinazouzwa ni za Tanzania pia hata mipaka ya hapo mpakani haijulikani utakuta hadi nyumba zimeingiliana ,sasa sababu za kutmalizia bando kwa habari za kizushi zitatusaidia nini wakati hao wafanyabiashara wapo hapo mika mingi,ungesema wameenda labda Kalemie au Rwanda labda ningekuamini lakini hapo Tunduma hizo ni porojo,biahsra zinafanywa pande zote mbili,mwishowe tutasema Bavicha wameenda kuwatembelea wafanyabiashara waliokimbia hapo Namanga upande wa Kenya au wa Silali wakati wanaingiliana miaka mingi. Sasa mko huru sio basi tembezeni sera tuwasikie sababu mlipata sababu ya kubinywa demokrasia wakati wa jabali lilipokuwa hai, sasa hamna la kusema ni blabla tu mara sijui nimechomwa chanjo nje mara oh TRA walinionea hizo ndio sera zenu kwa sasa.
 

Kila siku nasema unapoandika angalia unamjibu nani wengine hata tin number hawana, VAT haelewi ni nini wewe unakomaa kumwelewesha kodi ya trucks za pombe kutoka south wakati hata kodi ya Apple tunda Tanzania iko juu mara nne kuliko Angola
 
Kwa hiyo wafanya biashara ndio hao wanne waliopiga picha hapo!!??
njoo na track nyingine hii mbovu
Nyie ng'ombe ndio mnasababisha watanzania wote waitwe ng'ombe, akili zako za king'ombe ng'ombe, sasa umeandika madudu gani haya,mbona hueleweki?
 
Mmevuka tu mpaka na kupiga picha mnadai mmeenda kuongea na wafanyabiashara.
 
Kwa nini TRA wasifunze huko? Tatizo lao kodi zinazokusanywa wanajilipa wao kwanza mishaara mikubwa mno.
 
Kila siku nasema unapoandika angalia unamjibu nani wengine hata tin number hawana, VAT haelewi ni nini wewe unakomaa kumwelewesha kodi ya trucks za pombe kutoka south wakati hata kodi ya Apple tunda Tanzania iko juu mara nne kuliko Angola
Daah kweli Mkuu si ndio hawa muda mwingine wanakuja na hoja eti wanalipa Kodi kubwa wafanyakazi kuliko wafanyabiashara hizo nyuzi huwa naziangalia tuu...yaani mshahara wa tgs D unasema unalipa kodi kubwa kuzidi kontena moja linaloingia kila mwezi Tanzania...
 
Hakuna mtu mweusi ambae anataka kulipa kodi hata siku moja na mama akileta utani kwenye kukusanya kodi ajue kuna siku atashindwa kulipa watu mishahara
Wamekuwa wakilipa kodi tangu enzi za mkapa na imekuwa ikipanda kila awamu. Una matatizo na sisi watu weusi?
 
Kwanini TRA isitume task force iende kuwakamata na kuwabambikia utakatishaji wa Kwacha
 
Chadema ndio tumaini kwa siasa za tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…