Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
johnthebaptist una amini katika violence au diplomacy 😊Ni jambo jema
Wakae Kwa kutulia otherwise kamanda wambura alale nao mbele....BAWACHA au BAWITCHES
Naungana na wale wanaoona huu kana wivu tu
😊😊😊😊Ni wivu tu (in gwajima voice)
Inategemea mazingirajohnthebaptist una amini katika violence au diplomacy 😊
Leo hujanywa gongoNi jambo jema
Niligonga kambege pale Mwenge kwa mama Tarimo!Leo hujanywa gongo
Yule binti hedhi inamsumbua sanaKwani Erythrocyte anasemaje?
Kwa Nini Hilo lingine usifanye wewe?acha uoga ndugu.Mm kama am 4 real Sina mrengo wowote wa kisiasa
Napendekeza hao WANAWAKE wa chadema wakiandamana kamanda wambura awakamate na watandikwe bakora 12 matakoni......
Nasema ivyo kwasabb Kuna mambo mengi ya msingi kuishinikiza serikali yetu kuchukua maamuzi kuliko hili la COVID 19 bungeni...Bora wangekua wanashinikiza serikali kuingilia kati mfumuko wa bei......hata hili nalo mama analifanyia kazi...
binafsi siitaji maandamano maana ni kichaka Cha machafuko na uovu am 4 real sioni tija ya maandamano haya naomba Mh.mbowe awape amri hao wa mama wa CHADEMA wakae Kwa kutulia....
Quote from Mr. No Limit 🤬 CIG anatoa report za wakubwa.....Sio report za wizi wa box 3 za chaki.....
Suala la Hawa COVID 19 ni suala la sheria na katiba lakini Spika wa bunge na serikali wamelifanya la kisiasa!Naunga mkono hoja waandamane sana tu ni haki yao kikatiba.
Tusifunge watu midomo na miguu yao.
Ni mpumbavu tu ndiye anaweza kupuuza suala la covid-19. Wako bungeni kwa njia haramu na wao ni haramu. Nonsense!Nasema ivyo kwasabb Kuna mambo mengi ya msingi kuishinikiza serikali yetu kuchukua maamuzi kuliko hili la COVID 19 bungeni...Bora wangekua wanashinikiza serikali kuingilia kati mfumuko wa bei......hata hili nalo mama analifanyia kazi...
Wakiwa Bungeni na wakitoka Bungeni kilo ya Unga na sukari zitapungua bei....Ni mpumbavu tu ndiye anaweza kupuuza suala la covid-19. Wako bungeni kwa njia haramu na wao ni haramu. Nonsense!
Hoja kuu ni uchaguzi ule wa kumba kumba 2020,Suala la Hawa COVID 19 ni suala la sheria na katiba lakini Spika wa bunge na serikali wamelifanya la kisiasa!
Kuna precedent ya wabunge waliofukuzwa kwenye vyama vyao na hatua zilizochukuliwa. Why should these covid 19 ladies be treated differently?